Posted on: November 2nd, 2018
Mkuu wa mkoa wa Lindi Mhe. Godfrey Zambi amewataka wananchi ambao kata zao zinaenda kufanya uchaguzi kuwa watulivu na kujiepusha na vitendo vitakavyo hatarisha amani
Zambi ameyasema hayo alip...
Posted on: November 1st, 2018
Mkuu wa mkoa wa Lindi Mhe. Godfrey Zambi amewataka wananchi wanaoishi katika vijiji vinavyomiliki Misitu kuweka mipango endelevu ya kuhifadhi Misitu hiyo.
Wito huo ameutoa ...
Posted on: October 31st, 2018
Mkuu wa Mkoa wa Lindi,Godfrey Zambi amewataka wakuu wa Wilaya zinazounda Mkoa huo kuunda Kamati za kutatua na kushughulikia migogoro ya wafugaji na wakulima katika Wilaya zao.
Zambi ametoa ...