• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

Maadili ya Msingi


  •  Kuhakikisha uwazi wa taratibu, miundo na mawasiliano
  • Masula ya kifedha yanawekwa wazi kwa wananchi wote na wadau wengine
  • Shughuli zote za kifedha zinafanyiwa kwa ukaguzi na uchunguzi



  • Shughuli za Halmashauri ya Wilaya zinapaswa kuzingatia kuleta matokeo katika jamii.
  • Jamii inapaswa kuruhusiwa kufuatilia na kutathmini matokeo ya Halmashauri katika ngazi za mitaa



  • Kila mtu anapaswa kuwajibika kwa maamuzi na matendo yake
  • Kutumia muda na Nguvu katika kuhakikisha kuwa wananchi/watu wanapata huduma vizuri
  • Epuka upendeleo katika utoaji wa huduma
  • Epuka rushwa
  • Wafanyakazi hawatatumia vifaa vya umma kwa faida binafsi wala kutafuta au kukubali neema au ushawishi.



  • Kuwa wa kweli, waaminifu, wa haki na thabiti katika shughuli zote
  • Kukubali utu wa mtu
  • Kuzingatia mahitaji ya watu na kuunga mkono kwanamna zinazolinda  heshima zao.



  • Halmashauri ya Wilaya inajiweka yenyewe katika njia ya ushirikishwaji, inayohusisha wadau wa ndani na nje katika mchakato wa kufanya maamuzi.
  • Halmashauri ya Wilaya inafanya kazi kama timu ya pamoja ili kuongeza umakini na ufanisi
  • Halmashauri ya Wilaya na wafanyakazi wa mashirika wanapaswa kuweka kando kipaumbele na mapendekezo yao binafsi ili kutumikia matakwa ya Taasisi na yale ya wateja wao.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • TANGAZO LA KAZI September 03, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI KILWA DC. September 23, 2021
  • Matokeo ya usaili wa mchujo kwa nafasi ya Mtendaji wa kijiji tarehe 30/09/2021 September 30, 2021
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Kaimu Afisa lishe wilaya ya Kilwa DICKSON NG'UTO amewapongeza watumishi wa Zahanati ya Mandawa na kamati ya lishe ya kijiji kwa kuratibu maadhimisho ya siku ya afya na lishe ngazi ya kijiji

    March 30, 2023
  • WAZIRI MCHENGERWA AZINDUA BOTI YA KITALII YA TAWA SEA CRUISER

    March 15, 2023
  • Timu ya vijana ya Ukaguzi wa Miradi ya kimkakati kutoka UVCCM Taifa yatia timu kilwa.

    March 17, 2023
  • Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Mhe. Christopher Ngubiagai amepiga Marufuku Uvuvi wa Chupa Pamoja na Uvuvi wa Dagaa Mchana.

    March 23, 2023
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: +255 23 201 3241/65

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa