• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

Utumishi na Utawala

HALMASHAURI YA WILAYA YA KILWA




 

 


IDARA YA  UTAWALA NA RASILIMALI WATU

 

Idara ya Utawala na Rasilimali watu ina jumla ya watumishi 180 wakiwemo Mkurugenzi Mtendaji 1, Maafisa Utumishi 4, Watunza Kumbukumbu 8, Makatibu Muhsusi 8, Wahudumu wa Ofisi 9, Madereva/fundi 16 Watendaji wa Vijiji 85 na Watendaji wa Kata 13, walinzi 7, na watumishi 19 wa mkataba, watumishi hawa wanafanya kazi za kuhudumia wananchi kwa ujumla, pamoja kuhudumia Idara zingine 13 na vitengo 6 vilivyopo katika Halmashauri ya Wilaya.

Malengo Makuu ya Idara ni kutoa huduma bora kwa kasi na viwango kwa kuzingatia usawa. 

 

Kazi na Majukumu ya Idara

  • Kushughulikia stahili mbalimbali za kisheria za watumishi kama vile mishahara,posho, matibabu,likizo,masomo n.k
  • Kusimamia na kuandaa/kushughulikia maslahi ya Wah. Madiwani kama vile posho za vikao na posho za mwezi.
  • Kusimamia kwa kushirikiana na Wakuu wa Idara/Vitengo kuhakiki watumishi (Staff Audit) na kuondoa watumishi wote wasiostahili kulipwa mishahara kwa sababu mbalimbali kama vile kufariki, kuacha/kuachishwa kazi, utoro, kustaafu, kufungwa n.k
  • Kushughulikia urejeshaji wa mishahara kwa watumishi 35 hewa waliolipwa wakati hawastahili kwa kushirikiana na Polisi, TAKUKURU na Idara ya Usalama wa Taifa.
  • Kufanya ukaguzi/uhakiki wa vyeti vya masomo na taaluma za watumishi kuona uhalali wake zoezi hili linaratibiwa na Mkuu wa Mkoa.
  • Kutafsiri sheria,kanuni,sera,na miongozo mbalimbali inayohusu Utumishi wa Umma
  • Kusafisha Taarifa za Watumishi (Data Cleaning).
  • Kusimamia nidhamu na maadili ya utendaji katika Utumishi wa Umma pamoja na Kanuni za Maadili ya  Madiwani.
  • Kusimamia, kuandaa na kuratibu uendeshaji wa vikao vya Halmashauri
  • Kushughulikia uhamisho wa watumishi wanaohama na kuhamia katika Wilaya ya Kilwa.
  • Kushughulikia ujazaji na kuingiza kwenye mfumo wa HCMIS fomu za watumishi wote Uadilifu na Opras.
  • Kushughulikia mafao ya watumishi wastaafu,mirathi na walioacha kazi kwa kushirikiana na mifuko ya pensheni LAPF,PSPF,NSSF na Hazina.
  • Kuandaa TANGE ya watumishi na Orodha ya Ukubwa kazini(Seniority List) ya mwaka wa fedha 2016/2017
  • Kuandaa Mpango wa Mafunzo (Training Programe) wa Halmashauri kwa mwaka wa Fedha 2016/17
  • Kuandaa na kuingiza taarifa za kupandishwa vyeo watumishi pamoja na maombi ya ajira mpya kwa mwaka wa fedha 2017/2018.
  • Pamoja na shughuli zote za kila siku za kiutawala na maelekezo mengine yote kwa kadri yanavyotolewa na ngazi za juu Serikalini.

UTAWALA BORA.

Idara ya Utawala imekua ikihakikisha misingi ya utawala bora inaimarishwa kuanzia ngazi ya Kijiji, Kata na Halmashauri kwa kuhimiza uwazi na uwajibikaji, ushirikishwaji wa wananchi na kutoa elimu ya kukataa kutoa rushwa na kuhakikisha vikao vyote vya kisheria  vinafanyika katika ngazi zote ambazo ni vikao vya Serikali za vijiji, mikutano Mikuu ya Vijiji, Kamati za Maendeleo za Kata na vikao vya Halmashauri na Baraza la Madiwani.

IDADI YA WATUMISHI

Hadi kufikia tarehe 31 Disemba  , 2016 Halmashauri ina jumla ya watumishi 1899 katika mchanganuo ufuatao kwa kila Idara: -

NA.

IDARA

IDADI YA WATUMISHI


UTAWALA, FEDHA, UGAVI NA MAENDELEO YA JAMII
251

ELIMU MSINGI
870

ELIMU SEKONDARI
315

AFYA
366

UJENZI
10

MAJI
24

MIFUGO
15

KILIMO
48
  •  
Jumla 
1899

 

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • BANDARI YA UVUVI KILWA KUKAMILIKA MWEZI JUNI 2025

    May 08, 2025
  • KAMATI YA SIASA YA CCM MKOA WA LINDI YAIPONGEZA KILWA KWA UTEKELEZAJI WA ILANI

    May 07, 2025
  • KILWA YAPIGA HATUA KATIKA KUTOKOMEZA UKATILI WA KIJINSIA DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO

    May 06, 2025
  • WANANCHI, WANAFUNZI NA WATUMISHI KILWA WAJITOKEZA KWA MAZOEZI YA PAMOJA UWANJA WA MWENGE/TAIFA

    May 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa