• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

WAJIBU INSTITUTE NA PPRA WATOA MAFUNZO KWA MAKUNDI MAALUM JUU YA FURSA ZA UNUNUZI WA UMMA

Posted on: September 1st, 2025

Taasisi ya Wajibu Institute of Public Accountability kwa kushirikiana na Public Procurement Regulatory Authority (PPRA) kupitia programu ya kuwezesha makundi maalum katika mikakati ya ununuzi wa umma, imetoa mafunzo kwa wajasiriamali, Maafisa Manunuzi pamoja na Maafisa Maendeleo ya Jamii kuhusu matumizi ya mfumo wa manunuzi ya kielektroniki.


Mafunzo hayo yamefanyika tarehe 1 Septemba 2025 katika ukumbi wa Chuo cha Maendeleo ya Wananchi (FDC) Kilwa, ambapo makundi maalum hususan vikundi vya wajasiriamali vimeshauriwa kujiunga na mfumo wa NeST ili kuweza kunufaika na fursa mbalimbali za ununuzi wa umma.


Akizungumza wakati wa mafunzo hayo, Afisa Manunuzi wa PPRA Ndg. Tumpe Ngala ameeleza kuwa katika mfumo wa manunuzi ya umma, serikali imetenga asilimia 30 ya zabuni mahsusi kwa ajili ya makundi maalum ya kijamii na kijiasiliamali, ambazo zitawawezesha kupata na kushiriki fursa za tenda katika taasisi za kiserikali.


Nae mwezeshaji Ndg. Damas Makweba amesema mfumo wa manunuzi ya umma utawawezesha kupata taarifa za wazabuni kwa haraka na usawa kutokana na fursa ya uwezeshaji wa wajasiliamali wadogo na makundi maalum kuwez kushindana kwa usawa na kupata nafasi katika soko la umma hivyo amewataka wanavikundi kuhakikisha wanatumia kikamilifu mfumo wa NeST ili kupata Zaidi fursa zilizopo.


Aidha Afisa ufuatiliaji na tathimini kutoka Wajibu Institue Ndg. Tekra Mleleu amewataka wanavikundi waliopata mafuzo hayo kwenda kutoa elimu kwa jamii ili kuongeza uelewa na ushiriki mpana Zaidi katika fursa za ununuzi wa umma


Mafunzo haya yametolewa na Taasisi ya Wajibu Institute of Public Accountability kwa kushirikiana na Public Procurement Regulatory Authority (PPRA) ikifadhiliwa na ubalozi wa Swedeni na ubalozi wa Falme za Norway.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI HALMASHAURI YA WILAYA YA KILWA September 03, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • DED KILWA AKABIDHI PIKIPIKI KWA MAAFISA MAENDELEO YA JAMII ILI KUIMARISHA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANANCHI

    September 09, 2025
  • TIMU YA WASICHANA KILWA "KILWA PRINCESS" YAZINDULIWA RASMI NA KUFANYA HARAMBEE KWA WADAU

    September 06, 2025
  • MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA AWAPIGA MSASA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA KILWA

    September 01, 2025
  • WAJIBU INSTITUTE NA PPRA WATOA MAFUNZO KWA MAKUNDI MAALUM JUU YA FURSA ZA UNUNUZI WA UMMA

    September 01, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa