• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

DED KILWA AKABIDHI PIKIPIKI KWA MAAFISA MAENDELEO YA JAMII ILI KUIMARISHA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANANCHI

Posted on: September 9th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa, Ndg. Hemed S. Magaro, amekabidhi pikipiki tano (5)kwa Maafisa Maendeleo ya Jamii wilayani Kilwa kwa lengo la kuimarisha utoaji wa huduma kwa wananchi.


Makabidhiano hayo yamefanyika tarehe 09 Septemba 2025 katika ukumbi wa TUJIWAKI mara baada ya kikao cha Maafisa Maendeleo ya Jamii kilicholenga kujadili na kukumbushana majukumu ya idara hiyo, ikiwemo suala la uwajibikaji na usimamizi wa shughuli za utoaji mikopo kwa vikundi vya wajasiriamali wilayani Kilwa.


Kikao hicho pia kimelenga kuweka mikakati ya namna ya kuboresha upatikanaji wa huduma kwa jamii, ambapo pikipiki hizo zinatarajiwa kuwa chachu ya kuongeza kasi ya Maafisa kufika vijijini, kufuatilia shughuli za maendeleo, na kusogeza huduma karibu zaidi na wananchi.


Baada ya makabidhiano hayo Ndg. Magaro amewataka Maafisa hao kuhakikisha wanazitumia pikipiki hizo kwa matumizi sahihi na kwa uangalifu mkubwa, ili ziweze kudumu na kusaidia katika utoaji wa huduma kwa wananchi kwa muda mrefu.


Aidha, amewataka Maafisa Maendeleo ya Jamii kuwa chachu ya mabadiliko katika jamii, siyo tu kwenye usimamizi wa mikopo ya vikundi, bali pia katika kutekeleza shughuli zote za kijamii zinazolenga kuinua ustawi wa wananchi wa Wilaya ya Kilwa.


Kwa upande wake, Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii Bi. Grace Mwambe ameishukuru Ofisi ya Mkurugenzi kwa kuwaongezea vitendea kazi na kuahidi kuwa idara hiyo itaendelea kutekeleza majukumu yake kwa bidii, weledi na uwajibikaji mkubwa kwa manufaa ya wananchi wa Kilwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI HALMASHAURI YA WILAYA YA KILWA September 03, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • DED KILWA AKABIDHI PIKIPIKI KWA MAAFISA MAENDELEO YA JAMII ILI KUIMARISHA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANANCHI

    September 09, 2025
  • TIMU YA WASICHANA KILWA "KILWA PRINCESS" YAZINDULIWA RASMI NA KUFANYA HARAMBEE KWA WADAU

    September 06, 2025
  • MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA AWAPIGA MSASA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA KILWA

    September 01, 2025
  • WAJIBU INSTITUTE NA PPRA WATOA MAFUNZO KWA MAKUNDI MAALUM JUU YA FURSA ZA UNUNUZI WA UMMA

    September 01, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa