• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

Usafi na mazingira



MAJUKUMU YA IDARA YA  MAZINGIRA

Kuandaa na Kusimamia utekelezaji wa Sera ya Mazingira ya mwaka 1997; Kusimamia utekelezaji wa sheria ya mazingira Na 20 ya  2004;

 

Kutoa ushauri kwa kamati ya mazingira ya wilaya katika masuala yanayohusu usimamizi na uendelezaji wa mazingira katika wilaya 

 

Kufanya uraghibishi wa elimu ya mazingira 

 

Kukusanya na kutunza taarifa za mazingira na matumizi ya rasilimali asilia 

 

Kuandaa, kufuatilia, kufanya mapitio na usahili wa tathmini ya athari za mazingira (approval of the environmental impact assessment). 

 

Kupitia na kuzifanyia marekebisho sheria ndogo za usimamizi wa mazingira za vijiji na halmashauri ya wilaya (by laws), na kazi za idara katika halmashauri ya wilaya zinazohusiana na mazingira 

 

Kutoa ripoti kwa Mkurugenzi Mkuu na Mkurugenzi Kiongozi wa Mazingira, Kuratibu maadhimisho ya siku ya mazingira duniani 

 

Kufanya tathmini ya athari ya mazingira katika miradi na kuhakiki tathmini ya athari kwa mazingira 

 

Kudhibiti uharibifu na kuhifadhi mazingira ya asili, Kusimamia utawala kwa watumishi idara ya Usafi na Mazingira 

 

Kufanya ukaguzi wa Afya ya Jamii (Public health Inspect) 

 

Kufanya uhakiki na kupitisha mipango ,michoro na ramani ya ujenzi (Scrunitiny and approval of building plan) 

 

Kusimamia udhibiti wa taka ngumu na taka kimiminika (Waste management) 

 

Kusimamia usalama wa afya mahali pa makazi ( Occupational health and safety) 

 

Kukuza na kuendeleza afya na usafi (Health promotion), Kukagua usalama, ubora na usafi wa chakula (Food safety and hygiene) 

 

Kudhibiti magonjwa yanayoambukizwa na yasiyo ambukizwa (Communicable diseases and non communicable diseases control 

 

Kudhibiti uchafuzi wa Mazingira (Pollution control), Kusimamia na kudhibiti wa majanga (Disaster Management) 

 

Kufanya Chanjo (Vaccination), Kusimamia Afya na usafi mjini na vijijini (Hygiene and sanitation) 

 

Kudhibiti wadudu hatari kwa binadamu na mazingira wanaoruka na wanaotambaa (Vector and venin control) 

 

Kuzika miili iliyokufa (Disposal of the dead), Kudhibiti magonjwa ya milipuko (Diseases surveillance and response) 

 

Kufanya mafunzo juu ya sayansi ya afya ya mazingira (Conduct training related to environmental health sciences) 

 

Kuzuia na kudhibiti  ajali (Accidental prevention and control), Kudhibiti usalama na ubora wa Maji (Water safety and quality control) 

 

Kufanya tathimini ya athari ya afya ya mazingira (Carrying out environmental healthy impact assessment) 

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • BANDARI YA UVUVI KILWA KUKAMILIKA MWEZI JUNI 2025

    May 08, 2025
  • KAMATI YA SIASA YA CCM MKOA WA LINDI YAIPONGEZA KILWA KWA UTEKELEZAJI WA ILANI

    May 07, 2025
  • KILWA YAPIGA HATUA KATIKA KUTOKOMEZA UKATILI WA KIJINSIA DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO

    May 06, 2025
  • WANANCHI, WANAFUNZI NA WATUMISHI KILWA WAJITOKEZA KWA MAZOEZI YA PAMOJA UWANJA WA MWENGE/TAIFA

    May 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa