• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

TASAF

Ndg.Israel Mhando

Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa ni miongoni mwa halmashauri zinazotekeleza miradi ya TASAF nchini. Imekuwa ikitekeleza miradi ya TASAF kuanzia TASAF I, TASAF II na sasa TASAF III ambayo inahusu mpango wa kunusuru kaya maskini (PSSN).

Katika mpango wa kunusuru kaya maskini Halmashauri imetambua na kuandikisha kaya zipatazo 5,922. Hadi sasa kaya zipatazo 5,699 ndizo zinazopata ruzuku baada ya kaya 213 kuondolewa kutokana na walengwa kufariki, kuhama na kaya 28 zilibainika kuwa ni za wajumbe wa Serikali ya Kijiji na kamati ya mradi ya TASAF (CMC). Zoezi la uwasirishwaji wa fedha linafanyika kila baada ya mwezi mmoja.

Pamoja na uwasirishwaji fedha, huduma nyingine inayotolewa ni ya ajira za muda.Katika kutekeleza huduma hii TASAF kupitia Halmashauri ya Wilaya imewezesha uendeshaji wa mafunzo kwa wawezeshaji ngazi ya Wilaya (PAA) pia imeibua miradi na kutoa mafunzo kwa kamati za mradi, wajumbe watatu wa serikali ya kijiji, mwenyekiti wa kijiji na mtendaji wa kijiji.

Walengwa wa kaya maskini wanafanya kazi ambazo zina waongezea kipato, zinaendeleza miundombinu, zinawaongezea walengwa ujuzi na kuchangia mabadiliko ya tabia ya nchi, huduma hii ni ya hiari. Katika huduma hii 75% ya fedha za mradi ni ujira wa walengwa na 25% ni ununuzi wa vifaa.

Pia kuna huduma ambayo inatarajiwa kuanza ya kuweka akiba. Katika huduma hii walengwa wa kaya maskini wataungana katika vikundi vya watu wasiopungua kumi (10) na wasiozidi kumi na tano (15),Vikundi hivi vita weka akiba kutokana na vyanzo vya mapato mbalimbali ambavyo wata vibaini baada ya kupewa mafunzo (maelekezo).

Hudumaya ujenzi wa miundo mbinu nayo itafanyika katika vijiji vyote 58 ambavyo vina walengwa wa mpango. Miundo mbinu hiyo itajikita kwenye sekta ya Afya, Elimu na Maji.

Pamoja na majukumu mengine,hayo ni baadhi ya majukumundani ya TASAF III.

PAMOJA TUONDOE UMASKINI

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • BANDARI YA UVUVI KILWA KUKAMILIKA MWEZI JUNI 2025

    May 08, 2025
  • KAMATI YA SIASA YA CCM MKOA WA LINDI YAIPONGEZA KILWA KWA UTEKELEZAJI WA ILANI

    May 07, 2025
  • KILWA YAPIGA HATUA KATIKA KUTOKOMEZA UKATILI WA KIJINSIA DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO

    May 06, 2025
  • WANANCHI, WANAFUNZI NA WATUMISHI KILWA WAJITOKEZA KWA MAZOEZI YA PAMOJA UWANJA WA MWENGE/TAIFA

    May 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa