• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

KILWA YAADHIMISHA SIKU YA USAFISHAJI WA MAZINGIRA DUNIANI KWA KAMPENI YA USAFI WA PAMOJA

Posted on: September 20th, 2025

Wilaya ya Kilwa imeungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha Siku ya Usafishaji wa Mazingira Duniani ambayo hufanyika kila mwaka tarehe 20 Septemba, kwa kufanya shughuli mbalimbali za usafi katika maeneo ya stendi za mabasi na barabara kuu. Zoezi hilo limefanyika tarehe 20 Septemba 2025, likihusisha wananchi kutoka kata mbalimbali kushiriki kikamilifu katika kufanya usafi wa pamoja.


Maadhimisho haya yamebeba kaulimbiu isemayo “TUNZA MAZINGIRA KWA KUZIPA TAKA THAMANI" ikilenga kuhamasisha jamii kutupa taka kwa usahihi na kuzuia uharibifu wa mazingira unaoweza kusababisha uchafuzi.


Akizungumza wakati wa zoezi hilo, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa, Ndg. Shija Lyela, amewapongeza Idara ya Mazingira na wananchi kwa kujitokeza kwa wingi kushiriki kampeni hiyo. Amesisitiza kuwa utunzaji wa mazingira ni jukumu la kila mmoja na ni endelevu, hata katika siku za kawaida, ili kulinda afya za wananchi na kuboresha mandhari ya mji.


Kwa upande wake, Afisa Mazingira wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa, Ndg. Boniface Achiula, amewashukuru wadau wote walioshiriki akisisitiza kuwa mshikamano wa jamii ni msingi muhimu katika kulinda mazingira. Pia ameahidi kuendelea kutoa elimu na hamasa kwa wananchi ili kuhakikisha suala la usafi na uhifadhi wa mazingira linaendelea kuwa kipaumbele.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI HALMASHAURI YA WILAYA YA KILWA September 03, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI AJIRA MPYA KILWA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI

    September 22, 2025
  • CRDB KILWA YAKABIDHI MEZA NA VITI SHULE YA SEKONDARI MAVUJI

    September 20, 2025
  • KILWA YAADHIMISHA SIKU YA USAFISHAJI WA MAZINGIRA DUNIANI KWA KAMPENI YA USAFI WA PAMOJA

    September 20, 2025
  • MAAFISA BAJETI KILWA WAPIGWA MSASA KUIMARISHA UANDAAJI BORA WA BAJETI

    September 19, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa