• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

CRDB KILWA YAKABIDHI MEZA NA VITI SHULE YA SEKONDARI MAVUJI

Posted on: September 20th, 2025

Benki ya CRDB wilayani Kilwa imekabidhi msaada wa meza 40 na viti 40 vyenye thamani ya shilingi 3,200,000/= kwa Shule ya Sekondari Mavuji iliyoko Wilayani Kilwa, ikiwa ni sehemu ya mchango wake katika kuunga mkono juhudi za serikali katika kuboresha mazingira ya elimu wilayani Kilwa.

Akizungumza wakati wa hafla ya makabidhiano, 20 Septemba, 2025 Ndg. Ambele David Mwasabila, Meneja wa Benki ya CRDB Tawi la Kilwa amesema, Msaada huo ni sehemu ya sera ya Uwajibikaji wa Kijamii (CSR) wa Benki ya CRDB, inayolenga kurudisha sehemu ya faida kwa jamii hususan katika sekta za elimu, afya na maendeleo ya kijamii.

Naye Bi. Jenifer Urassa kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa,  ameishukuru Benki ya CRDB kwa mchango huo muhimu, huku akibainisha kuwa meza na viti hivyo vitasaidia kupunguza changamoto ya upungufu wa vifaa vya kujifunzia na kuinua ubora wa elimu kwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mavuji.

Kwa upande wao wanafunzi na walimu wa shule hiyo wamefurahia msaada huo na kutoa shukrani zao za dhati kwa Benki ya CRDB, Aidha wameeleza kuwa meza na viti hivyo vitawawezesha kujifunza na kufundisha katika mazingira bora zaidi, jambo litakaloongeza ari ya ufaulu na kuinua kiwango cha elimu shuleni hapo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI HALMASHAURI YA WILAYA YA KILWA September 03, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI AJIRA MPYA KILWA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI

    September 22, 2025
  • CRDB KILWA YAKABIDHI MEZA NA VITI SHULE YA SEKONDARI MAVUJI

    September 20, 2025
  • KILWA YAADHIMISHA SIKU YA USAFISHAJI WA MAZINGIRA DUNIANI KWA KAMPENI YA USAFI WA PAMOJA

    September 20, 2025
  • MAAFISA BAJETI KILWA WAPIGWA MSASA KUIMARISHA UANDAAJI BORA WA BAJETI

    September 19, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa