• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

Kilimo

Kilimo ni uti wa mgongo Katika wilaya ya Kilwa ambapo zaid ya 80% ya wananchi wanajihusisha na shughuli mbalimbali za Kilimo ambapo takribani hekta 47,223 zinatumika kwa kilimo cha mazao ya chakula na mazao ya biashara. Mazao yanayolimwa kwa wingi katika wilaya ya Kilwa ni kama yafuatayo; kilimo cha muhogo, kilimo cha mtama, mbaazi, ufuta, viazi vitamu, kilimo cha machungwa, maembe, Nazi, kilimo cha Mwani, mbogamboga na mahindi.

Licha ya kuwa na maeneo mazuri ya kufanya shuguli za kilimo maeneo mengi ambayo yanarutuba hayatumiki ipasavyo kuweza kuleta tija katika sekta ya kilimo. Hali hii inatokana na wakulima wengi wamekuwa wakitumia nyenzoo duni za kilimo, ukosefu wa soko la uhakika wa mazao umepelekea wakulima kutokuwa na ari ya kufanya kilimo kama sekta muhimu ya kuwakwamua katika wimbi la umaskini, upungufu wa wataalamu katika sekta ya kilimo, ukosefu wa viwanda vya kuchakata mazao ya kilimo, ukosefu wa mitaji kwa wakulima na ukame.

Kwa kupitia changamoto zinazoikabiri sekta ya Kilimo Wilaya inawakaribisha wawekezaji kuja na kuwekeza katika maeneo yafuatayo katika sekta ya kilimo ili kuleta tija katika sekta ya Kilimo kwakuwa mazingira yaliyopo yanaruhusu:

A. Kuwekeza katika kilimo cha mbogamboga, matunda, matikiti, viazi vitamu, maembe, machungwa.

B. Viwanda vya kuchakata mafuta ya alizeti, nazi na ufuta

C. Viwanda vya kutengeneza bidhaa za mazao ya kilimo kama bidhaa zinazotokana na zao la muhogo, viazi vitamu, mahindi, matunda ya maembe na machungwa, mbaazi.

D. Kiwanda cha kutengeneza bia kutokana na zao la Mtama

E. Kuwekeza katika kilimo cha umwagiliaji ambapo kuna hekta zipatazo 10,322 ambazo hazijaanza kutumika kwaajili ya kilimo cha umwagiliaji katika maeneo ya Mavuji, Makangaga, Matandu.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA WALIOCHAGULIWA KUSHIRIKI ZOEZI LA SENSA 2022. July 25, 2022
  • TANGAZO LA KAZI September 03, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI KILWA DC. September 23, 2021
  • Matokeo ya usaili wa mchujo kwa nafasi ya Mtendaji wa kijiji tarehe 30/09/2021 September 30, 2021
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • BILIONI 266 KUJENGA BANDARI YA UVUVI KILWA

    June 15, 2022
  • Tsh:Bilion 50 kuanza ujenzi wa bandari ya uvuvi kilwa

    May 27, 2022
  • NMB yatowa msaada wa vitu vyenye Thamani TSh. 25,700,000/= kwenye shule 5 kilwa.

    February 02, 2022
  • Milioni 250. kumaliza ujenzi wa majengo mawiliki kituo cha Afya

    January 01, 2022
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: +255 23 201 3241/65

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa