• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

Kilimo

Kilimo ni uti wa mgongo Katika wilaya ya Kilwa ambapo zaid ya 80% ya wananchi wanajihusisha na shughuli mbalimbali za Kilimo ambapo takribani hekta 47,223 zinatumika kwa kilimo cha mazao ya chakula na mazao ya biashara. Mazao yanayolimwa kwa wingi katika wilaya ya Kilwa ni kama yafuatayo; kilimo cha muhogo, kilimo cha mtama, mbaazi, ufuta, viazi vitamu, kilimo cha machungwa, maembe, Nazi, kilimo cha Mwani, mbogamboga na mahindi.

Licha ya kuwa na maeneo mazuri ya kufanya shuguli za kilimo maeneo mengi ambayo yanarutuba hayatumiki ipasavyo kuweza kuleta tija katika sekta ya kilimo. Hali hii inatokana na wakulima wengi wamekuwa wakitumia nyenzoo duni za kilimo, ukosefu wa soko la uhakika wa mazao umepelekea wakulima kutokuwa na ari ya kufanya kilimo kama sekta muhimu ya kuwakwamua katika wimbi la umaskini, upungufu wa wataalamu katika sekta ya kilimo, ukosefu wa viwanda vya kuchakata mazao ya kilimo, ukosefu wa mitaji kwa wakulima na ukame.

Kwa kupitia changamoto zinazoikabiri sekta ya Kilimo Wilaya inawakaribisha wawekezaji kuja na kuwekeza katika maeneo yafuatayo katika sekta ya kilimo ili kuleta tija katika sekta ya Kilimo kwakuwa mazingira yaliyopo yanaruhusu:

A. Kuwekeza katika kilimo cha mbogamboga, matunda, matikiti, viazi vitamu, maembe, machungwa.

B. Viwanda vya kuchakata mafuta ya alizeti, nazi na ufuta

C. Viwanda vya kutengeneza bidhaa za mazao ya kilimo kama bidhaa zinazotokana na zao la muhogo, viazi vitamu, mahindi, matunda ya maembe na machungwa, mbaazi.

D. Kiwanda cha kutengeneza bia kutokana na zao la Mtama

E. Kuwekeza katika kilimo cha umwagiliaji ambapo kuna hekta zipatazo 10,322 ambazo hazijaanza kutumika kwaajili ya kilimo cha umwagiliaji katika maeneo ya Mavuji, Makangaga, Matandu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI HALMASHAURI YA WILAYA YA KILWA September 03, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • BARAZA LA BIASHARA KILWA KUIBUA FURSA MPYA ZA UWEKEZAJI KUPITIA BANDARI YA UVUVI.

    October 08, 2025
  • MPR WAENDELEA KUSISITIZA UHIFADHI WA RASILIMALI ZA BAHARI KILWA

    October 08, 2025
  • TAASISI YA UMOJA PAMOJA YAENDELEA KUBORESHA MAZINGIRA YA MICHEZO KWA VIJANA KILWA

    October 07, 2025
  • ZIMEBAKI SIKU 22 KUELEKEA UCHAGUZI MKUU WA 2025

    October 07, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Togel
  • Situs Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto Slot
  • DORA77
  • Toto Slot
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • AXL777
  • AXL777
  • KOI200
  • KOI200
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • AERO88
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • NABITOTO
  • KOI200
  • DANATOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • situs slot
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto