• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

KILWA YAJIFUNZA KUTOKA PANGANI NAMNA UKUSANYAJI WA MAPATO YA BAHARINI KUPITIA BMU.

Posted on: June 23rd, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa Ndg. Hemed S. Magaro, akiambatana na baadhi ya Wataalamu kutoka Halmashauri hiyo pamoja na viongozi wa Mtandao wa BMU (Vikundi vya Usimamizi wa Rasilimali za Bahari) na viongozi wa BMU wamefanya ziara ya kujifunza katika Halmashauri ya wilaya ya Pangani mbinu za ukusanyaji wa mapato ya baharini kupitia BMU, ikiwa Pangani ni miongoni mwa maeneo yanayoongoza kwa ukusanyaji wa mapato yatokanayo na bahari kwa kutumia BMU.

Akizungumza wakati wa ziara hiyo mwekahazina wa BMU Kipumbi Pangani, Ndg. Mohamed Ally Juma amesema, “Siri ya mafanikio yetu imejikita kwenye ushirikiano wa karibu kati ya Halmashauri na BMU kupitia mikataba rasmi. Mikataba hii imeweka uwazi wa majukumu na mapato, huku BMU ikipatiwa asilimia 10 ya mapato waliyokusanya kama motisha ya kazi zao. Tunashauri Kilwa kuanzisha mfumo kama huu ambao sio tu unaongeza mapato ya halmashauri, bali pia unaongeza morali kwa BMU.”

“Ni muhimu pia kuwa na mawasiliano ya mara kwa mara na BMU, kutoa mafunzo ya uongozi na usimamizi wa mapato, pamoja na kuhakikisha stahiki za BMU zinapatikana kwa wakati. Hili linaongeza imani na kujituma kwa vitendo.”

Ziara hiyo pia imelenga kuimarisha ushirikiano wa kimkakati kati ya Halmashauri, BMU na wavuvi ili kuhakikisha rasilimali za bahari zinatumika kwa tija na zinachangia kikamilifu mapato ya Serikali.

Kilwa inaendelea kujifunza na kuboresha mifumo yake kwa lengo la kuinua uchumi wa wananchi na halmashauri kupitia sekta ya uvuvi na bahari.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KILWA YAJIFUNZA KUTOKA PANGANI NAMNA UKUSANYAJI WA MAPATO YA BAHARINI KUPITIA BMU.

    June 23, 2025
  • WATUMISHI LINDI WATAKIWA KUTUMIA FURSA YA USHIRIKI WA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KUJIFUNZA

    June 22, 2025
  • WADAU MBALIMBALI KATIKA BANDA LA MKOA WA LINDI KWENYE MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA DODOMA

    June 21, 2025
  • MADIWANI KILWA WAAGWA KWA HAFLA YA HESHIMA

    June 19, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa