• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

MWENGE WA UHURU WAKIMBIZWA KILOMETA 173 NA KUTEMBELEA MIRADI 13 YENYE THAMANI YA TSH BILIONI 11 WILAYANI KILWA.

Posted on: May 31st, 2025


Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa mwaka 2025 Comredi Ismail Ali Ussi ameongoza Mbio za Mwenge wa uhuru zenye umbali wa kilometa 173 wilayani Kilwa tarehe 31 Mei, 2025 ili kutembelea miradi 13 kwa ajili ya kuona, kuweka mawe ya msingi na kufanya Uzinduzi katika miradi hiyo ya maendeleo yenye jumla ya thamani ya Tsh Bilioni 11,620,849,442/= kuashiria uchochezi wa Maendeleo Wilayani Kilwa.


Katika mbio hizo Mwenge wa Uhuru umetembelea na kuweka mawe ya msingi katika miradi miwili (2) ambayo ni Mnada wa Mifugo ulioko katika Kata ya Njinjo wenye thamani ya Tsh 74,020,410/= ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Njinjo wenye thamani ya Tsh 327,093,000/=. Pia mwenge wa Uhuru umezindua mradi wa madarasa mawili (2) katika shule ya Msingi Matandu wenye thamani ya 48,000,000/= lengo ikiwa ni kuboresha ustawi wa wananchi na kuchochea maendeleo ya kiuchumi na kijamii.


Pia Mwenge wa Uhuru umetembelea na kuona mradi wa Uhifadhi wa Mazingira katika Msitu wa Kijiji cha Ngea katika Kata ya Mitole na Kupanda miti kama ishara ya kuunga mkono juhudi za utunzaji wa mazingira, Pia Mwenge wa Uhuru umetembelea na kuona mradi wa duka la uuzaji wa vifaa vya ujenzi unaomilikiwa na Vijana wanufaika wa mikopo ya Asilimia 10% kutoka Halmashauri wenye thamani Ths. 45,000,000/=


Samabamba na hayo Mwenge wa Uhuru umetembela na kuona hali ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa daraja la Mikereng’ende katika kata ya Tingi wenye thamani ya Sh. 11,116,536,032/= Aidha Mwenge wa Uhuru umetembela na kuona Shughuli za mapambano dhidi ya UKIMWI, Rushwa, Malaria, Madawa ya Kulevya na Lishe. Pia Mwenge umetembelea na kuona shughuli za utoaji wa Elimu ya Mpiga Kura na Matumizi ya Nishati safi ya kupikia.


Kiongozi wa Mbio hizo ametoa pongezi za dhati kwa uongozi wa Wilaya na watendaji wote kwa kwa juhudi zinazofanyika ila kutatua kero za wananchi na kuleta maendeleo wilayai Kilwa. Aidha Amemshukuru Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuridhia kutoa fedha za miradi ya maendeleo ili kutatua kero za wananchi Wilayani Kilwa

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU WAKIMBIZWA KILOMETA 173 NA KUTEMBELEA MIRADI 13 YENYE THAMANI YA TSH BILIONI 11 WILAYANI KILWA.

    May 31, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAWEKA JIWE LA MSINGI ZAHANATI YA NJINJO KILWA.

    May 31, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAWEKA JIWE LA MSINGI KWENYE MRADI WA UJENZI WA MNADA WA MIFUGO KILWA

    May 31, 2025
  • DED KILWA AAHIDI MILIONI MBILI (2) KWA MSHINDI UMISSETA TIMU YA WILAYA.

    May 29, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa