• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

ZIARA YA CMT KILWA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO.

Posted on: February 22nd, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmshauri ya Wilaya ya Kilwa Ndg. Hemed Said Magaro ameongoza Timu ya Menejimenti ya Halmshauri ya wilaya ya Kilwa (CMT) kufanya ziara ya kutembelea na kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika Kata ya Njinjo, Mitole na Kikole Wilayani Kilwa kwa lengo la kuhakikisha miradi hiyo inatekelezwa kwa wakati ili iweze kuwanufaisha wananchi kwa kutoa huduma bora. Ziara hiyo imefanyika tarehe 22/02/2025.

Katika ziara hiyo Timu ya Menejimenti imekagua mradi wa ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Njinjo wenye thamani ya Tsh. 52,000,000/= fedha kutoka mapato ya ndani, ujenzi wa Mnada wa Mifugo wa kijiji cha Njinjo wenye thamani ya Tsh. 50,000,000/= fedha kutoka mapato ya ndani, Ukarabati wa Shule ya Msingi Kipindimbi wenye thamani ya Tsh. 101,000,000/= fedha kutoka kwa wafadhili kupitia mradi wa BOOST, Umaliziaji wa darasa moja katika shule ya Msingi Kipindimbi wenye thamani ya Tsh. 22,459,365/= fedha kutoka mapato ya ndani, na Umaliziaji wa madarasa mawili Shule ya Msingi Njinjo wenye thamani ya Tsh. 15,000,000/= fedha kutoka mapato ya Ndani.

Aidha Timu ya Menejimenti imekagua mradi wa ujenzi wa madarasa matatu katika Shule ya Msingi Ndende iliyoko katika Kata ya Mitole wenye thamani ya Tsh. 68,000,000/= ambapo kiasi cha Tsh. 20,000,000/= ni fedha kutoka Mfuko wa Elimu na kiasi cha Tsh. 48,000,000/= ni fedha kutoka mapato ya ndani. Pia ukaguzi umefanyika katika Ujenzi wa matundu kumi ya vyoo katika Shule ya Msingi Mitole wenye thamani ya Tsh. 11,000,000/- fedha kutoka mapato ya ndani, Umaliziaji wa maabara katika Shule ya Sekondari Kikole wenye thamani ya Tsh. 6,000,000/= fedha kutoka Mfuko wa Jimbo na ujenzi wa matundu kumi ya vyoo katika Shule ya Sekondari Kikole wenye thamani ya Tsh. 11,000,000/= fedha kutoka mapato ya Ndani.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji amewapongeza wataalamu wanaosimamia ujenzi wa miradi hiyo lakini pia amewataka kuongeza juhudi katika kuhakikisha miradi hiyo inakamilika kwa wakati ili ilete manufaa kwa wananchi. Sambamba na hilo Ndg. Magaro amesisitiza kuzingatia Thamani ya fedha na ubora wa mradi katika hatua zote za utekelezaji wa miradi hiyo.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KILWA YAPOKEA PIKIPIKI 11 KWA AJILI YA CHANJO NA HUDUMA MBALIMBALI ZA MIFUGO.

    July 11, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUWEKA MAZINGIRA WEZESHI KWA NGO's LINDI

    July 10, 2025
  • SERIKALI YAFANYA UKAGUZI WA MIRADI YA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI WILAYANI KILWA

    July 09, 2025
  • HALMASHAURI YA KILWA YADUMISHA USHIRIKIANO NA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI KUPITIA JUKWAA LA PAMOJA

    July 01, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa