• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

DED NA TIMU YA UFUATILIAJI KILWA WAFANYA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: August 14th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa, Ndg. Hemed Magaro, ameongoza ziara ya ukaguzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo katika kata za Masoko na Likawage, tarehe 14 Agosti 2025, akiwa ameambatana na timu ya ufuatiliaji kutoka ofisi ya halmashauri ambapo ziara hiyo imelenga kukagua utekelezaji wa miradi inayotekelezwa kwa kutumia fedha za serikali na wadau wa maendeleo, pamoja na kujiridhisha kuhusu ubora, thamani ya fedha na maendeleo ya kazi katika maeneo husika.


Katika ziara hiyo, Mkurugenzi Mtendaji na timu yake wametembelea Ujenzi wa shule mpya ya msingi eneo la Mihina wenye thamani ya Shilingi (202) kupitia mapato ya ndani. Pia mradi wa ujenzi wa madarasa mawili katika Shule ya Msingi Mnazi Mmoja, shilingi milioni (40.0) kupitia fedha za mfuko wa jimbo, Ukarabati wa madarasa manne katika Shule ya Msingi Mzizima shilingi (43.4) kutoka mfuko wa Elimu na mapato ya ndani.


Pia ujenzi wa Madarasa matatu na Vyoo 6 katika shule ta msingi Liwiti fedha milioni (83.2) program ya Boost, Ujenzi wa matundu mawili ya vyoo vya walimu na uwekaji wa mfumo wa umeme Shule ya Sekondari Likawage shilingi milioni (6.9) Mfuko wa Elimu na jimbo. Katika kituo Shikizi Nanjumba fedha shilingi (2.0) miradi hiyo inalenga kuboresha mazingira mazuri kwa walimu na wanafunzi.


Umaliziaji wa ujenzi wa Zahanati mpya ya Liwiti, kwa shilingi milioni (115) na Ukarabati wa Zahanati ya Nainokwe wenye thamani ya shilingi milioni (3.0) ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuboresha huduma za afya ngazi ya jamii.


Akizungumza wakati wa ukaguzi huo, Ndg. Hemed Magaro amesisitiza umuhimu wa ushirikiano baina ya wasimamizi wa miradi na watumishi wa sekta husika, akieleza kuwa ni kupitia mshikamano na uwajibikaji ndipo miradi ya maendeleo inaweza kufanikishwa kwa wakati na kwa viwango vinavyotarajiwa.


Ziara hii ni sehemu ya utaratibu endelevu wa halmashauri wa kufuatilia kwa karibu utekelezaji wa miradi ya maendeleo ili kuhakikisha kuwa wananchi wanapata huduma bora na kwa wakati

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KILWA DC YAANZA KWA KISHINDO SHIMISEMITA

    August 16, 2025
  • MTANDAO WA BMU WAELEZA FAIDA ZA ZIARA YA MAFUNZO MKOANI TANGA

    August 15, 2025
  • DED NA TIMU YA UFUATILIAJI KILWA WAFANYA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO

    August 14, 2025
  • KAMATI ZA MAANDALIZI YA SHEREHE ZA MAJIMAJI KILWA ZAKUTANA KUJADILI MAANDALIZI YA SHEREHE HIZO

    August 13, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa