• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

MTANDAO WA BMU WAELEZA FAIDA ZA ZIARA YA MAFUNZO MKOANI TANGA

Posted on: August 15th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa, Ndg. Hemed S. Magaro, ameongoza kikao cha kuwasilisha taarifa kuhusu mafanikio ya ziara ya mafunzo ya Mtandao wa BMU yaliyofanyika mkoani Tanga tarehe 24 Juni 2025. Lengo la kikao hicho ni kushirikisha viongozi wa BMU, wataalamu wa sekta ya uvuvi, na wadau mbalimbali juu ya ujuzi, teknolojia, na mbinu bora walizojifunza katika ziara hiyo.


Kikao hicho kimefanyika Tarehe 15 Agosti 2025 katika Ukumbi wa Chuo cha Maendeleo ya Wananchi kikilenga kubadilishana uzoefu wa namna bora ya kusimamia na kulinda rasilimali za bahari kwa kutumia mifumo ya usimamizi shirikishi ambayo italetakwa tija jamii ya Wilaya hiyo.


wakiwasilisha wajumbe wa Mtandao wa BMU wameeleza kuwa wamejifunza mbinu bora za ukusanyaji wa mapato ya baharini kupitia mifumo ya usimamizi shirikishi ndani ya BMU ambapo walijifunza namna ya kuboresha utaratibu wa kukusanya mapato kutokana na leseni za uvuvi, ada za shughuli za baharini, na tozo nyingine.


Utengenezaji wa matumbawe bandia kama njia endelevu ya kulinda mazalia ya samaki. Teknolojia hii, ambayo tayari imefanikiwa katika maeneo ya Tanga, husaidia kuzuia uharibifu wa matumbawe ya asili, kutoa makazi kwa viumbe vya baharini, na kuongeza idadi ya samaki katika maeneo ya uvuvi, pia uhifadhi endelevu wa mazingira ya bahari. Iliwemo kudhibiti uvuvi haramu, na kuhamasisha jamii kushiriki katika shughuli za utunzaji wa mazingira.


Akizungumza katika kikao hicho, Ndg. Magaro amesisitiza kuwa mafunzo hayo yana mchango mkubwa kwa ustawi wa sekta ya uvuvi wilayani Kilwa. Ameongeza kuwa teknolojia ya matumbawe bandia imemvutia zaidi kutokana na manufaa yake katika kuimarisha uhifadhi wa mazingira ya bahari, kuongeza tija kwa wavuvi, na kukuza uchumi wa jamii za wavuvi.


Vilevile, amezishukuru Halmashauri za Wilaya za Pangani, Mkinga na Muheza kwa mapokezi mazuri, mshikamano, na maarifa waliowapatia, akisisitiza kuwa ziara kama hizi zinapaswa kuendelezwa ili kuimarisha mtandao.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KILWA DC YAANZA KWA KISHINDO SHIMISEMITA

    August 16, 2025
  • MTANDAO WA BMU WAELEZA FAIDA ZA ZIARA YA MAFUNZO MKOANI TANGA

    August 15, 2025
  • DED NA TIMU YA UFUATILIAJI KILWA WAFANYA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO

    August 14, 2025
  • KAMATI ZA MAANDALIZI YA SHEREHE ZA MAJIMAJI KILWA ZAKUTANA KUJADILI MAANDALIZI YA SHEREHE HIZO

    August 13, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa