• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

WAZIRI JAFO AIPONGEZA KANDA YA KUSINI KWA UBORA WA MAANDALIZI YA MAONESHO YA NANE NANE 2025

Posted on: August 8th, 2025

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jafo, ameonyesha kufurahishwa na maandalizi na ubora wa viwanja vya maonesho ya Nane nane Kanda ya Kusini, vilivyopo Ngongo, Mkoani Lindi.


Akizungumza wakati wa kilele cha maonesho hayo yaliyofanyika tarehe 8 Agosti 2025, Mhe. Jafo ambaye alikuwa mgeni rasmi, amesifu kwa dhati juhudi za mikoa ya Lindi na Mtwara katika kuhakikisha viwanja hivyo vinakuwa vya kisasa, vyenye miundombinu bora ikiwemo barabara za lami, hali inayochochea ubora wa viwanja hivyo.


“Mmeweka alama ya kipekee kwa kuandaa viwanja vyenye hadhi na vigezo bora kwa maonesho haya. Hii ni hatua muhimu katika kutangaza fursa na kuhamasisha uendelezaji wa sekta ya kilimo na uchumi wa viwanda,” amesema Mhe. Jafo.


Katika hotuba yake, Mhe Jafo pia amezipongeza Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa kuendelea kuwawezesha wananchi kiuchumi kupitia utoaji wa mikopo ya asilimia 10 kwa vijana, wanawake na watu wenye ulemavu, akibainisha kuwa mikopo hiyo imekuwa kichocheo kikubwa katika kuimarisha biashara ndogondogo, shughuli za kilimo, ufugaji na uvuvi.


Akizungumzia juhudi za Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mhe. Jafo ameeleza kuwa zaidi ya shilingi bilioni 626 zimetolewa kwa ajili ya ruzuku ya pembejeo za kilimo, ambapo zaidi ya asilimia 85 ya pembejeo hizo zimeelekezwa katika mikoa ya Lindi na Mtwara, hususan kwa mazao ya kimkakati kama korosho.


Aidha, amewataka wananchi wa Kanda ya Kusini kutumia maarifa na teknolojia walizojifunza kupitia maonesho haya ya nane nane ili kuongeza tija katika uzalishaji, kuongeza kipato na kuchangia ustawi wa jamii.


Maonesho ya Nane nane kwa mwaka 2025 yameendeshwa kwa kaulimbiu isemayo: “Chagua Viongozi Bora kwa Maendeleo Endelevu ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi 2025.”

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI HALMASHAURI YA WILAYA YA KILWA September 03, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KILWA DC YAANZA KWA KISHINDO SHIMISEMITA

    August 16, 2025
  • MTANDAO WA BMU WAELEZA FAIDA ZA ZIARA YA MAFUNZO MKOANI TANGA

    August 15, 2025
  • DED NA TIMU YA UFUATILIAJI KILWA WAFANYA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO

    August 14, 2025
  • KAMATI ZA MAANDALIZI YA SHEREHE ZA MAJIMAJI KILWA ZAKUTANA KUJADILI MAANDALIZI YA SHEREHE HIZO

    August 13, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa