• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

WAWEZESHAJI KUTOKA TAMISEMI WATOA MAFUNZO YA UTUMIAJI WA MFUMO WA e-OFFICE KWA WATAALAMU WA UHIFADHI TAARIFA (MASIJALA) KILWA

Posted on: March 17th, 2025


Mamlaka ya Serikali Mtandao kwa kushrikiana na Ofisi ya Rais (TAMISEMI) wametoa Mafunzo  ya  matumizi ya Mfumo wa e- Office kwa wataalamu wa Uhifadhi Taarifa (Masijala) wa Halmashauri ya Wilayani Kilwa,lengo ikiwa ni kuwapatia Elimu juu matumizi ya Mfumo wa usambazaji na utunzaji wa Taarifa Kidigital ili kuwa na urahisi wa ufuatilia wa utekelezaji wa  taarifa mbalimbali kwa taasisi na Wananchi kwa ujumla.


Mafunzo hayo yametolewa Leo Tarehe 17 /03/2024 Katika Ukumbi wa Chuo Maendeleo ya Wananchi (FDC) Kilwa  ambapo Mwezeshaji wa Mafunzo hayo Ndg.Happynes Mabagalo amewahasa Watumishi kuwa na usiri katika katika ushughulikiaji wa kazi za Kiserikali kwa kuepuka kupokea taarifa kwenye mifumo isiyo Rasmi.


Kwa upande wake Mwezeshaji Innocent Mrema amesema moja ya Malengo ya utoaji wa Mafunzo Hayo ni kuelekeza juu ya upangaji wa taarifa vizuri, uandishi na jinsi ya kuingiza taarifa za Watumishi katika Mfumo wa Kidigitali pia amesema matumizi ya Mfumo huu unaenda kutatua changamoto ya kupotea kwa Nyaraka na kupunguza utegemezi wa makaratasi katika uhifadhi za nyaraka.


 Aidha Ndg. Mrema amesema Mfumo wa e-OFFICE unalenga kurahisisha utunzaji wa nyaraka, kuimarisha uwazi na kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma za kiserikali ikiwemo kutoa huduma za haraka kwa wananchi pale wanapoleta maombi mbalimbali,ambapo wahifadhi taarifa kutoka Halmashauri ya wilaya ya Kilwa wameelekezwa namna ya kutumia na kusimamia nyaraka kwa haraka, usalama na kwa usahihi.


Mafunzo haya yatatatolewa kwa siku saba kwa Maafisa Masuuli, Watumishi wa Masijala, Maafisa Watekelezaji,Wasimamizi Mfumo na Shabaha ya Mafunzo hayo ni kwenda kuanza Rasmi matumizi ya Mfumo wa e- Office katika Ofisi za Halmashuari ya Wilaya ya Kilwa

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI LINDI WATAKIWA KUTUMIA FURSA YA USHIRIKI WA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KUJIFUNZA

    June 22, 2025
  • WADAU MBALIMBALI KATIKA BANDA LA MKOA WA LINDI KWENYE MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA DODOMA

    June 21, 2025
  • MADIWANI KILWA WAAGWA KWA HAFLA YA HESHIMA

    June 19, 2025
  • HONGERA HALMASHAURI YA WILAYA YA KILWA KWA KUPATA HATI SAFI YA CAG

    June 19, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa