• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

Watumishi wa afya wapatiwa mafunzo elekezi

Posted on: November 5th, 2018

 Kilwa,  

     Watumishi wametakiwa kufuata utaratibu wa kuacha kazi pindi wanapopata kazi sehemu nyingine.

Wito huo umetolewa leo na Katibu wa afya wilaya ya Kilwa ndugu John Maongezi katika mafunzo elekezi kwa watumishi wapya kada ya afya wilayani kilwa, Mafunzo yaliyofanyika katyika Ukumbi wa mikutano chumba namba sita katika Hospitali ya Wilaya Kinyonga.

Maongezi amesema Serikali imeweka utaratibu ambao mtumishi anayetaka kuacha kazi anatakiwa kuufuata.

Amesema kuna baadhi ya watumishi wamekuwa wakiacha kazi kiholela kitu ambacho muda mwingine  kinaleta usumbufu kwa serikali.

“Mtu mwingine unastukia tu hayupo kituoni ukifuatilia unaambiwa kaacha kazi kapata kazi katika shirika Fulani au mwingine anaandika tu barua naacha kazi Mke wangu anaumwa sana kabla barua haijafika katika uongozi  anaondoka, wakati kuna vitu vingine vinaweza kutafutiwa ufumbuzi hata bila ya kuacha kazi’ alisema maongezi

Pia amewataka watumishi kutunza siri za wagonjwa wanao wahudumia na pamoja na kutunza siri za ofisi wanazofanyia kazi.

“Idara yetu ni nyeti  sana na katika majukumu yetu tunakutana na watu wenye magonjwa mbalimbali sasa sitegemei kusikia mtumishi ametoa siri za mgonjwa au siri za ofisi ni kosa kubwa sana na linaweza kukufukuzisha katika utumishi wa umma” alihitimisha Maongezi

Kwa upande wake Kaimu Mganga Mkuu wa wilaya ya Kilwa Dokta Khalfanis Elekizemba amewataka watumishi kuto kukatishwa tamaa na changamoto wanazokutana nazo katika kutekeleza majukumu yao katika vituo walivyopangiwa badala yake wazitumie kama fursa kuhakikisha zinawajenga na kusonga mbele

Aidha amewataka kutumie pesa za vituo kwa kufuata utaratibu ili kuepuka hoja za kikaguzi kuhusu matumizi ya pesa hizo.

Akihitimisha mafunzo hayo Katibu wa Afya Hospitali ya Kinyonga Bi. Zabibu Uledi amewataka watumishi kutumia Lugha zenye staha wakiwa maeneo ya kazi na nje ya maeneo ya kazi pamoja na kuacha matumizi ya simu pindi wanapohudumia wagonjwa.

Aidha amewataka kutojihusisha na tabia hatarishi kama vile uesharati, ushoga, matumizi ya madawa ya kulevya pamoja na ulevi uliopindukia.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI HALMASHAURI YA WILAYA YA KILWA September 03, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KILWA DC YAANZA KWA KISHINDO SHIMISEMITA

    August 16, 2025
  • MTANDAO WA BMU WAELEZA FAIDA ZA ZIARA YA MAFUNZO MKOANI TANGA

    August 15, 2025
  • DED NA TIMU YA UFUATILIAJI KILWA WAFANYA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO

    August 14, 2025
  • KAMATI ZA MAANDALIZI YA SHEREHE ZA MAJIMAJI KILWA ZAKUTANA KUJADILI MAANDALIZI YA SHEREHE HIZO

    August 13, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa