• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

WATUMISHI KILWA WAPATIWA MAFUNZO YA MFUMO WA PEPMIS ILI KUBORESHA UTENDAJI KAZI

Posted on: June 14th, 2025

Ofisi ya Utumishi na Utawala bora kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa imeendesha mafunzo ya siku moja kwa watumishi wa umma juu ya matumizi ya Mfumo wa Pepmis (Performance Management Information System), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa Serikali wa kuboresha usimamizi na ufuatiliaji wa utendaji kazi serikalini.


Mafunzo hayo yamefanyika Tarehe 13 Juni, 2025 katika ukumbi wa Mkapa uliopo katika Shule ya Sekondari Masoko, yakihusisha watumishi kutoka idara mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa. Lengo kuu la mafunzo hayo ni kuwawezesha watumishi kuelewa kwa kina namna ya kutumia mfumo huo katika kupanga, kutekeleza na kutathmini utendaji kazi wao kwa ufanisi zaidi.


Akizungumza wakati wa mafunzo hayo, Mwezeshaji kutoka Wizara ya Utumishi Ndg.Mutani Manyama ameeleza kuwa mfumo wa PEPMIS ni sehemu ya mageuzi ya kiutendaji yanayolenga kuongeza uwazi, uwajibikaji na tija katika utoaji wa huduma kwa umma.

“Mfumo huu utarahisisha ufuatiliaji wa malengo ya kila mtumishi na kutoa nafasi kwa viongozi wa idara kufanya tathmini kwa wakati, jambo ambalo litaongeza ufanisi na uwajibikaji kazini,” amesema. Ndg. Manyama


Watumishi walioshiriki mafunzo hayo wameipongeza Serikali kwa kuweka mazingira ya kuwajengea uwezo wa kiteknolojia, wakisema mfumo huo utawasaidia kurahisisha kazi na kuhakikisha huduma bora zinatolewa kwa wananchi kwa wakati.


Mafunzo kama haya yanatarajiwa kuendelea kutolewa katika maeneo mengine nchini ili kuhakikisha kuwa watumishi wote wa umma wanakuwa na ujuzi sahihi wa kutumia mifumo ya kidijitali katika kutekeleza majukumu yao ya kila siku.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI HALMASHAURI YA WILAYA YA KILWA September 03, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KILWA DC YAANZA KWA KISHINDO SHIMISEMITA

    August 16, 2025
  • MTANDAO WA BMU WAELEZA FAIDA ZA ZIARA YA MAFUNZO MKOANI TANGA

    August 15, 2025
  • DED NA TIMU YA UFUATILIAJI KILWA WAFANYA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO

    August 14, 2025
  • KAMATI ZA MAANDALIZI YA SHEREHE ZA MAJIMAJI KILWA ZAKUTANA KUJADILI MAANDALIZI YA SHEREHE HIZO

    August 13, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa