• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

WATOA HUDUMA ZA UTALII WAPATA MAFUNZO NA KOICA, TAWA NA NCT ILI KUKUZA SHUGHULI ZA UTALII KILWA

Posted on: May 23rd, 2025

Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Korea (KOICA), kwa kushirikiana na Chuo cha Taifa cha Utalii (NCT), Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) pamoja na Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa, limetoa mafunzo ya utalii kwa waongoza watalii katika Wilaya ya Kilwa. Mafunzo hayo yatakayo fanyika Siku 2 kuanzia Tarehe 22 hadi 23 mei 2025 yamelenga kuwaongezea ujuzi na mbinu za kisasa ili kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma za utalii.

Mafunzo hayo  yamefanyika tarehe 22 Mei 2025 katika ukumbi wa Chuo cha Maendeleo ya Wananchi (FDC) Kilwa na yamehusisha wadau mbalimbali wa sekta ya utalii wilayani humo, wakiwemo wanafunzi wa kada ya utalii kutoka Chuo cha Maendeleo ya Wananchi (FDC) Kilwa,kituo cha mawasiliano Kilwa na wadau wengineo wa utalii katika Wilaya ya Kilwa.

 Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo, Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa, Ndg. Abushiri Mbwana, amesema kuwa mafunzo hayo ni hatua muhimu katika kuongeza fursa za ajira na kuchangia ustawi wa sekta ya utalii kwa Halmashauri hiyo na taifa kwa ujumla.

Adha amewataka wadau waliopatiwa elimu hiyo juu ya namna ya kuongeza watalii,kushirikisha jamii katika utalii, kushirikiana kwa pamoja kufikisha elimu hiyo kuhusiana na utalii katika jamii ili kufikia malengo ya mafunzo hayo.

Kwa upande wake, Mratibu wa mafunzo hayo, Bi. Eunice Ulomi, amewahamasisha wadau wa utalii wilayani Kilwa kuwekeza zaidi katika sekta hiyo kwa kuanzisha huduma kama makazi ya muda kwa watalii (home stay), hoteli na shughuli za utalii wa fukwe. kwani uwekezaji huo utawavutia watalii kukaa kwa muda mrefu zaidi katika eneo hilo badala ya kutafuta maeneo mbadala kwa ajili ya mapumziko.

Wanufaika wa mafunzo hayo wamelishukuru Shirika KOICA na wadau wengine kwa kuwapatia elimu itakayowawezesha kuboresha huduma wanazotoa na kuongeza ufanisi katika shughuli zao za kila siku za utalii.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU WAKIMBIZWA KILOMETA 173 NA KUTEMBELEA MIRADI 13 YENYE THAMANI YA TSH BILIONI 11 WILAYANI KILWA.

    May 31, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAWEKA JIWE LA MSINGI ZAHANATI YA NJINJO KILWA.

    May 31, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAWEKA JIWE LA MSINGI KWENYE MRADI WA UJENZI WA MNADA WA MIFUGO KILWA

    May 31, 2025
  • DED KILWA AAHIDI MILIONI MBILI (2) KWA MSHINDI UMISSETA TIMU YA WILAYA.

    May 29, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa