• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI WILAYANI KILWA WAHIMIZWA KUSIMAMIA UKUSANYAJI WA MAPATO.

Posted on: February 13th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa Ndg. Hemed Said Magaro amewataka Watendaji wa Kata na Vijiji kuhakikisha wanasimamia Ukusanyaji wa Mapato ya Vijiji na Halmashauri katika maeneo yao. Katika kutekeleza jambo hilo amewaelekeza Watendaji hao kuwa wabunifu katika kuibua vyanzo vipya vya mapato na kuendeleza vyanzo vilivyopo. Pia amewataka kuhakikisha Mapato yote yanayokusanywa yanapelekwa benki kama sheria na kanuni zinavyoelekeza.


Ndg. Magaro ameyasema hayo wakati wa Kikaokazi baina ya Timu ya Menejimemti ya Wilaya ya Kilwa (CMT), Maafisa Tarafa, Watendaji wa Kata na Watendaji wa Vijiji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa kilichafayika katika Ukumbi wa Shule ya Sekeondari Kilwa tarehe 13/02/2025.


Aidha, Ndg Magaro amewataka watendaji hao kutumia mamlaka walizonazo kusimamia utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Kata na vijiji vyao, kusimamiza matumizi bora ya ardhi, kudhibiti biashara haramu (Magendo) pamoja na usafi na utunzaji wa mazingira katika maeneo ya Kata na Vijiji vyao.


Samabamba na hayo Mkurugenzi Mtendaji ametoa pongezi kwa watendaji hao kwa kusimamia vyema mazoezi ya Kitaifa ikiwemo Uchaguzi wa Viongozi wa serikali za Mtaa uliofanyika 27/Novemba/2024 na Uboreshaji wa Daftari la kudumu la Mpiga kura uliofanyika kuanzia 28/01/2025 - 03/02/2025. Pia amehadi kufanyia kazi changamoto wanazokumbana nazo ikiwemo kuhakikisha wanapata stahiki zao za uhamisho, likizo na nyinginezo ili kuwaweka katika nafasi nzuri ya kutekeleza majukumu yao.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI HALMASHAURI YA WILAYA YA KILWA September 03, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KILWA DC YAANZA KWA KISHINDO SHIMISEMITA

    August 16, 2025
  • MTANDAO WA BMU WAELEZA FAIDA ZA ZIARA YA MAFUNZO MKOANI TANGA

    August 15, 2025
  • DED NA TIMU YA UFUATILIAJI KILWA WAFANYA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO

    August 14, 2025
  • KAMATI ZA MAANDALIZI YA SHEREHE ZA MAJIMAJI KILWA ZAKUTANA KUJADILI MAANDALIZI YA SHEREHE HIZO

    August 13, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa