• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

WATATU WATEULIWA UBUNGE KILWA KASKAZINI NA WANNE KILWA KUSINI

Posted on: August 27th, 2025

Msimamizi wa Uchaguzi wa Majimbo ya Kilwa Kaskazini na Kilwa Kusini, Ndg. Shija L. Lyella, tarehe 27 Agosti 2025 amewateua wagombea watatu (3) kugombea ubunge katika jimbo la Kilwa Kaskazini na wanne (4) kugombea ubunge katika jimbo la Kilwa Kusini.


Kwa upande wa Jimbo la Kilwa Kaskazini, wafuatao wameteuliwa kugombea nafasi hiyo:

1. Mohamed Mshamu Ngulangwa – CUF

2. Shaweji Mohamed Mketo -  ACT-Wazalendo

3. Kinjeketile Ngombare Mwiru - CCM

Kwa upande wa Jimbo la Kilwa Kusini, walioteuliwa kugombea ni:

1. Mohamedi Rashid Mahadhi – CHAUMMA

2. Abuu Mussa Mjaka – CUF

3. Hasnain Gulamabbas Dewji - CCM

4. Idrissa Abdul Kweweta - ACT Wazalendo


Msimamizi wa Uchaguzi ameeleza kuwa wagombea hao wametimiza vigezo vya kisheria vya kugombea ubunge kwa majimbo hayo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI HALMASHAURI YA WILAYA YA KILWA September 03, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • DED KILWA AKABIDHI PIKIPIKI KWA MAAFISA MAENDELEO YA JAMII ILI KUIMARISHA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANANCHI

    September 09, 2025
  • TIMU YA WASICHANA KILWA "KILWA PRINCESS" YAZINDULIWA RASMI NA KUFANYA HARAMBEE KWA WADAU

    September 06, 2025
  • MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA AWAPIGA MSASA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA KILWA

    September 01, 2025
  • WAJIBU INSTITUTE NA PPRA WATOA MAFUNZO KWA MAKUNDI MAALUM JUU YA FURSA ZA UNUNUZI WA UMMA

    September 01, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa