• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

WAONGOZA WATALII KILWA WAPATIWA MAFUNZO YA KITAALAMU, WAASWA KUCHANGAMKIA FURSA ZA UTALII

Posted on: May 23rd, 2025



Katika kuhitimisha mafunzo ya siku mbili kwa waongoza watalii wilayani Kilwa, Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Utalii, Dkt. Florian Mtei, ametoa wito kwa wadau wa utalii kutumia kikamilifu elimu waliyoipata ili kuleta matokeo chanya katika sekta ya utalii ndani ya wilaya hiyo na nchini kwa ujumla.


Amezungumza wakati wa kufunga mafunzo hayo tarehe 23/05/2025 katika ukumbi wa Chuo cha Maendeleo ya Wananchi (FDC) Kilwa, Dkt. Florin Mtei amesisitiza umuhimu wa kuwa na mikakati ya muda mrefu kuhusu maendeleo ya utalii kutokana na Serikali kuandaa miradi mikubwa itakayoenda kukuza shughuli za utalii ikiwemo ujenzi wa uwanja wa ndege na bandari ya kisasa ya uvuvi, ambayo ni fursa adhimu kwa Wilaya ya Kilwa katika kujiimarisha kama moja ya vivutio vya kipekee kwa watalii wa ndani na kimataifa.


"Kilwa ni eneo lenye historia na rasilimali za kipekee. Mafunzo haya ni hatua ya msingi katika kuwajengea uwezo waongoza watalii ili wawe mabalozi wa utalii wetu. Tunatarajia kuona mabadiliko ya kweli kupitia ubunifu, ukarimu na umahiri wa kuwasiliana na wageni," amesema Dkt. Florian.


Nae Katibu Tawala Wilaya ya Kilwa Ndg. Yusuf Mwinyi akimuwakilisha Mkuu wa Wilaya ameeleza kuwa serikali imejipanga kuboresha zaidi mazingira ya sekta ya utalii, ikiwa ni pamoja na uboreshaji wa miundombinu, kuimarisha huduma za kijamii, pamoja na kushirikisha jamii kikamilifu katika shughuli za kitalii ili kunufaika kiuchumi na kijamii.


Afisa Utalii wa Wilaya ya Kilwa Ndg. Phabian Boniphace ameeleza kuwa mafunzo hayo yamekuwa ya manufaa makubwa kwa washiriki, kwani yameongeza maarifa kuhusu namna ya kutoa huduma bora kwa wageni, kukuza ubunifu katika bidhaa za utalii, pamoja na kuboresha uelewa wa lugha za kigeni kutokana na mafunzo hayo ya siku mbili.


Mmoja wa waongoza watalii waliopatiwa mafunzo Ndg. Samweli Moja amesema mafunzo hayo yamewasaidia kuelewa kwa kina namna ya kuhudumia wageni kwa viwango vya kimataifa,ukarimu na kujifunza umuhimu wa kuitangaza Kilwa kwa kuihusisha jamii kushiriki katika shughuli hizo za kitalii.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU WAKIMBIZWA KILOMETA 173 NA KUTEMBELEA MIRADI 13 YENYE THAMANI YA TSH BILIONI 11 WILAYANI KILWA.

    May 31, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAWEKA JIWE LA MSINGI ZAHANATI YA NJINJO KILWA.

    May 31, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAWEKA JIWE LA MSINGI KWENYE MRADI WA UJENZI WA MNADA WA MIFUGO KILWA

    May 31, 2025
  • DED KILWA AAHIDI MILIONI MBILI (2) KWA MSHINDI UMISSETA TIMU YA WILAYA.

    May 29, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa