• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

WANAWAKE KATA YA TINGI WAANDAA DUA MAALUM KUMUOMBEA MHE. RAIS SAMIA

Posted on: June 8th, 2025

Wanawake wa kata ya Tingi Wilayani Kilwa kutoka Taasisi ya SAYDAT NAFISA TINGI FOUNDATION (SANATI) wameandaa Dua maalum kwaajili ya kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan katika uongozi wake ndani ya Miaka 4 na kuliombea Taifa kwa ujumla hususani katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 2025.


Hafla hiyo imefanyika Tarehe 08 Juni 2025 katika Ukumbi wa Shule ya Sekondari Ilulu ambapo imehudhuriwa na Viongozi mbalimbali wa Dini wakiongozwa na Shekhe wa Wilaya ya Kilwa Shekh. Hussein Simo, Viongozi wa Serikali wakiongozwa na Mkuu wa Wilaya hiyo Mhe. Mohamed Nyundo.


Akizungumza Mgeni Rasmi katika Hafla hiyo, Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Zainab Telack amewapongeza wanawake hao kwa kuandaa Dua hiyo maalumu kwaajili Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwani inaonyesha upendo mkubwa katika kumuunga mkono mhe. Rais katika uwajibikaji wake wa kulijenga Taifa.


Aidha Mhe.Telack amewapongeza Viongozi wa Dini kwa kuijenga jamii hiyo katika Misingi ya Dini na Imani, pia amewasihi kuendeleza desturi ya kuiombea Nchi na Viongozi wake kama walivyoanza katika hatua hiyo Nzuri.


Naye Shekh wa Wilaya ya Kilwa Shekh. Hussein Simo ameisisitiza jamii kuelekea Uchaguzi Mkuu kwenda kuchagua viongozi bora wenye maadili na uadilifu ili kuleta maendeleo katika jamii na kujenga jamii iliyobora.


Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Mhe. Mohamed Nyundo amemshukuru Mkuu Mkoa Mhe. Telack kwa kuungana nao katika Dua hiyo na kutoa nasaha ambazo zitaenda kuwajenga  wanawake hao na jamii kwa ujumla.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MAONESHO YA MADINI RUANGWA 2025 YAWAPA WANANCHI FURSA MPYA ZA UWEKEZAJI

    June 11, 2025
  • KILWA NA FURSA ZA UWEKEZAJI KATIKA MAONESHO YA MADINI MKOANI LINDI

    June 11, 2025
  • WANAWAKE KATA YA TINGI WAANDAA DUA MAALUM KUMUOMBEA MHE. RAIS SAMIA

    June 08, 2025
  • DC KILWA AITAKA JAMII KUDHIBITI UTUMIAJI WA PLASTIKI ILI KUYALINDA MAZINGIRA.

    June 05, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa