• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

WANAWAKE KATA YA MASOKO WAHIMIZWA KUGAWA MAJUKUMU YA KIUCHUMI NA KIFAMILIA KWA USAWA.

Posted on: March 3rd, 2025

Katika kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yanayofanyika kila mwaka Tarehe 08 mwezi Machi, Wanawake Kata ya Masoko Wilayani Kilwa wametakiwa kugawanya majukumu yao ya Kiuchumi na Kifamilia kwa usawa ili kusaidia utunzaji wa familia zao ikiwemo kutimizia mahitaji ya watoto kama kuhakikisha wanapata elimu, chakula na kuwalinda dhidi ya ukatili wa kijinsia unaotokea katika jamii,

Wito huo umetolewa na Afisa Maendeleo ya Jamii Ndg. Stella Omari Leo tarehe 03/03/2025 Katika Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ngazi ya Kata yaliyobeba Kauli mbiu inayosema ‘‘WANAWAKE NA WASICHANA 2025 TUIMARISHE HAKI, USAWA NA UWEZESHAJI’’. Maadhimisho hayo yamefanyika katika kata ya Masoko, Mtaa wa Mihina, ambapo yamehusisha shughuli mbalimbali ikiwemo Usafi katika eneo la ujenzi wa Shule ya Msingi Mihina, Utoaji wa Elimu na Vifaa vya kusomea kwa watoto wa kike walio na Uhitaji Maalumu katika kata ya masoko.

Pia Ndg. Stella ametoa wito kwa wanawake hao kuachana na tamaduni zinazo mkandamiza mwanamke pia kujitokeza katika nafasi mbalimbali ikiwemo kugombea nafasi za uongozi kwani hiyo ni haki yao ya msingi na itasaidia kuleta usawa unaotakiwa kuwepo kati ya mwanamke na mwanaume katika jamii.

Kwa upande wake Afisa Mazingira Ndg. Paul Hilary amewataka wanawake kata ya Masoko kutumia Nishati safi na salama ya kupikia ili kulinda Afya zao na kupunguza uharibifu wa mazingira unaotokana na matumizi ya nishati isiyo salama ikiwemo ukataji wa miti kwaajili ya kuni na mkaa katika misitu.

Aidha Ndg. Zulfa Makame kwa niaba ya Afisa Mtendaji kata ametoa pongezi kwa wanawake wa Kata ya Masoko kwa muamko walioonyesha katika kushiriki zoezi la usafi eneo la ujenzi wa shule msingi Mihina, Pia amewaomba kuendelea kujitoa na kushirikiana katika shughuli nyingine za kimaendeleo kwaajili ya maendeleo ya kata hiyo na Taifa kwa ujumla.


Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MAKALA APONGEZA JITIHADA ZA KURUDISHA MAWASILIANO SOMANGA

    April 10, 2025
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa Mkono wa Eid kwa watoto wenye mahitaji Maalum Shule ya Msingi Mtanga Wilayani Kilwa.

    March 31, 2025
  • IDARA YA MAENDELEO YA JAMII YATOA MSAADA WA TELEVISHENI KWA GEREZA LA KILWA MASOKO

    April 28, 2025
  • MARAFIKI WA ELIMU WAWASILISHA TAARIFA YA UFUATILIAJI WA MAKUZI YA AWALI YA MTOTO KWA WADAU WA ELIMU KILWA.

    April 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa