• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

WAJUMBE WA HALMASHAURI KUU CCM KILWA WATAKIWA KUMSHUKURU MHE. RAIS KWA KUWAPATI FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: February 26th, 2025

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kilwa Ndg. Said Ally Timamy amewatakata wajumbe Halmashauri Kuu ya Chama hicho kuipongeza Serikali ya Awamu sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa utoaji wa fedha za kutekeleza miradi mbalimbali ya Maendeleo Wilayani Kilwa. Ameyaeleza hayo wakati wa kikao cha uwasilishaji na upokeaji wa Taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi kwa kipindi cha Januari hadi Desemba 2024 kilichofanyika Ukumbi wa Sultani Kilwa Masoko tarehe 26/02/2025.

Akizungumza wakati wa uwasilishaji wa Taarifa ya Utekelezaji wa Ilani, Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Mhe. Mohamed Nyundo, amewaomba wajumbe wa Halmashauri kuu kushirikiana na watumishi wa Halmashauri pamoja na Taasisi zilizopo katika wilaya ya Kilwa, kuhakikisha wanatekeleza miradi ya Maendeleo kwaajiri ya wananchi wa wilaya hiyo. Aidha ameeleza kuwa Serikali kupitia Wakala wa Usamabazaji wa Maji na USafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) imejipanga kuhakikisha vijiji vyote 90 vya Wilaya ya Kilwa vinapata huduma ya maji safi na Salama, Aidha ameeleza mpango wa serikali kupitia Wakala wa Barabara wa Vijijini na Mijini (TARURA) wa kuboresha maeneo yenye changamoto ya mtandao wa barabara hususani kwa Kata ya Kandawale na Kibata.

Kwa upande wake Mbunge wa Jimbo la Kilwa Kaskazini Mhe. Ally Kasinge amesema tayari serikali imehidhinisha fedha kwa ajili ya kutatua changamoto ya maji katika kata za Pande na Lihimalyao Hii ni moja ya kuhakikisha vijiji 90 vya Halmashauri ya Kilwa vinapata huduma ya Maji safi na salama. Sambamba na hayo Mbunge wa Jimbo la Kilwa Kaskazini Mhe. Francis Ndulane ameeleza kuwa Serikali inatambua changamoto ya usafiri Wilayani Kilwa na imeshaanza mchakato wa utengenezaji wa barabara na madaraja yaliyoathirika na Kimbunga hidaya.

Aidha Ndg. Timamy amewataka wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi kutekeleza Ilani ya chama cha Mapinduzi kama inavyotakiwa ili kuhakikisha wanatimiza ahadi zilizotolewa kwa wananchi na kuendelea kutengeneza imani ya Chama cha Mapinduzi Wilayani kilwa.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • BANDARI YA UVUVI KILWA KUKAMILIKA MWEZI JUNI 2025

    May 08, 2025
  • KAMATI YA SIASA YA CCM MKOA WA LINDI YAIPONGEZA KILWA KWA UTEKELEZAJI WA ILANI

    May 07, 2025
  • KILWA YAPIGA HATUA KATIKA KUTOKOMEZA UKATILI WA KIJINSIA DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO

    May 06, 2025
  • WANANCHI, WANAFUNZI NA WATUMISHI KILWA WAJITOKEZA KWA MAZOEZI YA PAMOJA UWANJA WA MWENGE/TAIFA

    May 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa