• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

"Wafanyakazi tujipange kabla ya kustaafu"- Mkuu wa Mkoa Lindi

Posted on: May 1st, 2018

Kilwa,

Wafanyakazi wa sekta za umma na binafsi wametakiwa kujiandaa kiuchumi kabla ya muda wao wa kustaafu haujafika.

Ushauri huo umetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Godfrey Zambi alipokua akihutubia mamia ya wananchi na wafanyakazi kutoka katika taasisi mbalimbali katika kilele cha maadhimisho ya siku ya wafanyakazi Duniani kwa Mkoa wa Lindi yaliyofanyika katika viwanja vya Garden Mkapa Mjini Kilwa Masoko.

Zambi maesema ni vyema wafanyakazi wakajiandaa kwa kutengeneza mazingira mazuri ambayo wataishi pindi watakapokua   wamestaafu

“Ndugu yangu ukitegemea mafao yako utakayopata ndio uyatumie kwa kujengea nyumba ya kuishi na kuanzishia shughuli zingine za kukuingizia kipato utakuja kufa mapema baada ya kustaafu, ni vyema ukaanza kubana bana fedha zako sasa na kuanzisha  miradi ya kimaendeleo ambayo itakusaidia hata baada ya utumishi wako kufika kikomo” alisema Zambi.

Pia Mhe. Zambi amewataka waajiri kuwaruhusu wafanyakazi kuafanya Mabaraza yao ambayo yatasaidia kumaliza baadhi ya migogoro ambayo inawakabili na kujadiliana mambo mbalimbali katika kutekeleza majukumu yao ya kila siku

“Waajiri muwaache wafanyakazi wakutane kwa mujibu wa sheria wajadiliane mambo yao. Lakini na ninyi wafanyakazi sio mnakutana tu ili mradi mnakutana hata kama hamna ajenda ya maana katika mikutano hiyo na mkageuza kua vijiwe vya kujadili umbea na mambo yasiyokuwepo”alisistiza Zambi.

Mgeni rasmi katika Maadhimisho ya siku ya Wafanyakazi Duniani kwa Mkoa wa Lindi Mhe. Godfrey Zambi akimkabidhi zawadi ya mmoja wa wafanyakazi bora katika maadhidhimisho yaliyafanyika katika viwanja vya Garden Mkapa mjini Kilwa Masoko ( Picha na Ally Ruambo)

Adha Zambi amewataka waajiri kuandaa Taarifa za watumishi ambao wanakaribia kustaafu mapema ili muda wa kustaafu unapofika wapate stahiki zao haraka kutoka katika mifuko ya Hifadhi ya jamii ambayo mtumishi amejiunga

“Tunaweza kua tunalalamikia mifuko kuchelewesha kulipa mafao kwa watumishi wanaostaafu kumbe waajiri nao wanaweza kua ni chanzo kwa kuchelewesha kuandaa na kuwasilisha taarifa za watumishi wanao staafu” alisisitiza Zambi.

Awali akitoa salamu za wilaya Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Mhe. Christopher Ngubiagai ameshukuru kwa Wilaya ya Kilwa kupewa Hadhi ya kuwa Mwenyeji wa Maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani kwa Mkoa wa Lindi na kuwataka Wafanyakazi wafanye kazi kwa weredi na kuzingatia maadili ya kiutumishi.

 Sanjari na burudani kutoka katika vikundi mbalimbali, wafanyakazi kadhaa kutoka katika taasisi mbalimbali mkoani Lindi na Halmashauri zake walipewa zawadi za ufanyakazi bora

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • BANDARI YA UVUVI KILWA KUKAMILIKA MWEZI JUNI 2025

    May 08, 2025
  • KAMATI YA SIASA YA CCM MKOA WA LINDI YAIPONGEZA KILWA KWA UTEKELEZAJI WA ILANI

    May 07, 2025
  • KILWA YAPIGA HATUA KATIKA KUTOKOMEZA UKATILI WA KIJINSIA DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO

    May 06, 2025
  • WANANCHI, WANAFUNZI NA WATUMISHI KILWA WAJITOKEZA KWA MAZOEZI YA PAMOJA UWANJA WA MWENGE/TAIFA

    May 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa