• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAAPISHWA KILWA

Posted on: May 14th, 2025

Afisa Mwandikishaji Wilaya ya Kilwa, Ndg.Msena Bina, Tarehe 14 Mei 2025 amewaapisha Waandishi wasaidizi wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura wa Awamu ya pili ambapo zoezi hilo limefanyika katika Ukumbi wa Chuo cha Maendeleo ya Wananchi (FDC) Kilwa.

Akizungumza wakati wa zoezi hilo Ndg. Bina amewataka waandishi hao kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu, huku akisisitiza umuhimu wa kutunza siri za kazi pamoja na vifaa vya kazi watakavyotumia wakati wa zoezi hilo muhimu la kitaifa.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa, Ndg Hemed Magaro ambaye alikuwa mgeni rasmi katika mafunzo hayo, amesisitiza umuhimu wa ushirikishwaji wa jamii katika uandikishaji,huku akitoa maagizo kwa waandishi  ngazi ya kata kuhakikisha wanatumia makundi manne ambayo ni shule, viongozi wa dini, Wenyeviti wa Vitongoji na Viongozi wa Vyama vya Siasa ili kuweza kusaidia taarifa hiyo kufika kwa haraka wananchi.

“Ni muhimu taarifa kuhusu uandikishaji ziwafikie wananchi wote kwa haraka na kwa ufanisi. zoezi hili ni la kitaifa na kila mmoja anapaswa kushiriki kikamilifu” amesema Ndg. Magaro

Aidha, baada ya zoezi la kuapishwa, waandishi wasaidizi hao wanatarajiwa kupatiwa mafunzo ya siku moja kuhusu matumizi sahihi ya vifaa vya uandikishaji, ikiwemo namna ya kutumia Mfumo wa Usajili wa Wapiga Kura (VRS) ili kuwawezesha kutekeleza majukumu yao kwa weledi na ufanisi.

Zoezi hilo litafanyika kwa siku 7 kuanzia tarehe 16 Mei 2025 hadi tarehe 22 Mei 2025  Vituo vya kuandikishia wapiga kura vimepangwa katika kila Kata na vitafunguliwa kuanzia saa 2:00 asubuhi hadi saa 12:00 jioni.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI HALMASHAURI YA WILAYA YA KILWA September 03, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KILWA DC YAANZA KWA KISHINDO SHIMISEMITA

    August 16, 2025
  • MTANDAO WA BMU WAELEZA FAIDA ZA ZIARA YA MAFUNZO MKOANI TANGA

    August 15, 2025
  • DED NA TIMU YA UFUATILIAJI KILWA WAFANYA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO

    August 14, 2025
  • KAMATI ZA MAANDALIZI YA SHEREHE ZA MAJIMAJI KILWA ZAKUTANA KUJADILI MAANDALIZI YA SHEREHE HIZO

    August 13, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa