• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

Vyama vya ushirika vyapatiwa mafunzo

Posted on: October 13th, 2018

Kilwa,

Mkuu wa polisi wilaya ya kilwa  H. Banzi  amevitaka Vyama vya ushirika wilayani kilwa kutoa taarifa  mapema pindi wanapopata Matatizo.

Ameyasema hayo  alipokuwa akizungumza na Wajumbe wa Bodi za Vyama vya Ushirika  pamoja na Makatibu wa Vyama hivyo katika ufunguzi wa Mafunzo yanayoendelea katika Ukumbi wa kwa Sultan Mjini Kilwa  .

Banzi amesema Vyama vya Ushirika vimekuwa vikichelewa kutoa taarifa pindi yanapotokea matatizo katika Vyama vyao hasa inapotokea mkanganyiko katika masuala ya Kifedha.

Amesema kuna kesi nyingi ambazo zimekuwa zikiziripotiwa Polisi  baada ya muda mrefu kupita, muhusika kukimbia  au zikiwashinda kuzimaliza.

“Utakuta   tukio limetokea  miezi kadhaa nyuma lakini mnakaa kimya mpaka muhusika anatoroka au mnashindwa kulipatia ufumbuzi ndio mnkuja kutoa taarifa , halafu watu wakihoji mnasema tusharipoti Polisi wanalifanyia kazi” alisema Banzi

Pia amevitaka vyama vya ushirika kuchagua watunza fedha wenye ujuzi ili kupunguza matatizo ambayo yanaweza kuepukika.

Banzi amesema polisi imekuwa ikipokea kesi nyingi kutoka Vyama vya ushrika kuwa kuna baadhi ya Viongozi wamekula pesa kitu ambacho muda mwingine kinakuwa hakina ukweli

“Kuna kesi ilikuja kwamba kuna Mtu amekula Pesa ya Chama ambayo ilikuwa karibia milioni Mia Moja  lakini kwa kushirikiana  na  Takukuru tukafuatilia na  kugundua kuwa hakuna pesa  iliyokuwa imeliwa ni makosa  tu yalikuwa yamefanywa na walikuwa wanaendesha zoezi kutokana na kukosa ujuzi wa usimamizi wa fedha, katika milioni Mia Moja karibia milioni Themanini zilipatikana” alisema Banzi

Wajumbe wa Bodi za Vyama vya Ushirika  pamoja na Makatibu wakiwa  katika  Mafunzo yanayoendelea katika Ukumbi wa kwa Sultan Mjini Kilwa

 Naye mtunza Ghala, Ghala la Nangurukuru  Ndg. Mbaraka Makolongo amesema maandalizi kwa ajili ya Msimu wa Korosho yanaendelea vizuri na kusema kuwa kuanzia Oktoba 17 watakuwa tayari kuanza kupokea Korosho.

Pia amewatoa hofu Wakulima kuhusu Nafasi ya kuhifadhia mazao yao baada ya kufika ghalani kwani  nafasi ipo ya kutosha.

“Chamgamoto ya Nafasi tulisha ifanyia kazi kwa msimu huu hakutakuwa na changamoto hiyo tena kwahiyo niwaombe tu wakulima walete Korosho zao, Lakini wahakikishe korosho wanazoleta zina ubora unotakiwa” alisema Mbaraka

Awali akifungua mafunzo hayo Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Mhe. Christopher Ngubiagai amewataka washiriki wa mafunzo hayo kujifunza kwa bidii na kwenda kuyafanyia kazi yale watakayo fundishwa.

“Baada ya mafunzo haya hatutarajiiu kuona makosa ambayo yalikuwa yakifanyika siku za nyuma yanajirudia tena, sasa hivi mutakuwa na ujuzi ambao utasaidia katika kuboresha kazi zenu kwahiyo hatutarajii kusikia makosa yamejirudia.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • BANDARI YA UVUVI KILWA KUKAMILIKA MWEZI JUNI 2025

    May 08, 2025
  • KAMATI YA SIASA YA CCM MKOA WA LINDI YAIPONGEZA KILWA KWA UTEKELEZAJI WA ILANI

    May 07, 2025
  • KILWA YAPIGA HATUA KATIKA KUTOKOMEZA UKATILI WA KIJINSIA DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO

    May 06, 2025
  • WANANCHI, WANAFUNZI NA WATUMISHI KILWA WAJITOKEZA KWA MAZOEZI YA PAMOJA UWANJA WA MWENGE/TAIFA

    May 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa