• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

VIONGOZI KILWA WAFANYA DUA YA KUWAOMBEA KIDATO CHA SITA

Posted on: April 29th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa Ndg. Hemed S. Magaro amewahasa wanafunzi wa Kidato cha Sita katika Shule ya  Sekondari Kilwa, kuendelea na nidhamu waliyokuwa nayo shuleni hata baada ya kuhitimu Elimu yao, kwani nidhamu itawasaidia katika kufikia malengo yao ya Kitaaluma na Maisha kwa Ujumla.

Ndg. Magaro Ameyasema hayo wakati wa  Hafla ya kuwaombea Dua wanafunzi wa Kidato cha sita katika mitihani yao ya taifa inayotarajiwa kuanza tarehe 05/05/2025  katika Ukumbi wa Shule ya Sekondari Kilwa, tarehe 29/04/2025. Hafla hiyo imeudhuriwa na Viongozi mbalimbali wa Wilaya na Halmashauri, Viongozi wa Dini, walimu na wananchi kwa ujumla.

Pia Ndg. Magaro amewapongeza Wataalamu wa Elimu Wilayani humo kwa kuweka utaratibu wa  kufanya Dua kwaajili ya Wanafunzi wanaoelekea katika Mitihani ya Mwisho, huu akisisitiza Kuwa hatua hii inasaidia kuwaita Moyo wanafunzi na kuongeza hamasa ya ufaulu katika Shule hizo.

Kwa upande wake Afisa Elimu Sekondari Ndg. Kassim Mpanda amewataka wanafunzi hao kutumia vizuri muda uliobaki katika kujisomea nakujiandaa na Mitihani yao ili kupata matokeo mazuri yatakayowawezesha kuendelea na safari ya kitaaluma.

Kadharika Afisa Elimu Taaluma Ndg. Robert Bujiku amewasisitiza wahitimu hao kuzingatia nidhamu katika kipindi kilichobaki ili kuepuka makosa ya kinidhamu na kuepuka usumbufu wa adhabu za kinidhamu katika kujiandaa na Mitihani iliyoko mbele yao.

Akitoa neno la Shukrani kwa niaba ya wanafunzi wote, Mwanafunzi mmoja wa kidato cha sita aitwaye Israel Macha amewashukuru walimu, viongozi wa dini na viongozi wa Wilaya na Halmashauri kwa kuendelea na jitihada za kuinua Elimu kuanzia walipojiunga katika Shule hiyo mpaka hatua ya kuwapa Moyo kwa kuwafanyia Dua ya pamoja kuelekea Mitihani yao ya mwisho katika hatua hiyo ya elimu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI HALMASHAURI YA WILAYA YA KILWA September 03, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KILWA DC YAANZA KWA KISHINDO SHIMISEMITA

    August 16, 2025
  • MTANDAO WA BMU WAELEZA FAIDA ZA ZIARA YA MAFUNZO MKOANI TANGA

    August 15, 2025
  • DED NA TIMU YA UFUATILIAJI KILWA WAFANYA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO

    August 14, 2025
  • KAMATI ZA MAANDALIZI YA SHEREHE ZA MAJIMAJI KILWA ZAKUTANA KUJADILI MAANDALIZI YA SHEREHE HIZO

    August 13, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa