• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

Aliyekua Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa afariki

Posted on: April 9th, 2018

TANZIA

Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa imepokea kwa mshtuko na huzuni kubwa taarifa ya kifo cha aliyewahi kuwa Diwani wa kata ya Nanjilinji na Mwenyekiti wa Halmashuri ya wilaya ya Kilwa Ndg. Ally Mtopa

 Mzee Ally Mtopa amefikwa na umauti siku ya jumatatu tarehe 09.04.2018 katika hosptali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa amelazwa kwa ajili ya kupatiwa matibabu.

Mzee Ally Mtopa aliwahi kuhudumu katika nafasi ya Udiwani wa kata ya Nanjilinji, wilayani kilwa kutoka mwaka 1995 hadi 2015 na wakati huo huo kwa umahiri wake katika ungozi alipewa dhamana ya Uenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa.

Pia mzee Ally Mtopa aliwahi kuhudumu katika chama cha mapinduzi (CCM) tangu zama za TANU ambapo alikua Mwenyekiti wa TANU Wilaya ya Kilwa mwaka 1974 hadi mwaka 1977. Baada ya kushiriki kuasisi CCM alichaguliwa tena kuwa Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kilwa kwa kipindi cha miaka 20 kutoka mwaka 19977 hadi mwaka 1997.

Vilevile mzee Mtopa alihudumu kama Mwenyekiti wa wa CCM Mkoa wa Lindi kwa miaka 14 tangu mwaka 2003 ambapo pia kwa utaratibu wa kipindi hicho alikua Mwenyekiti wa Wenyeviti wa CCM kati ya mwaka 2007 na 2012.

Sanjari na kushiriki harakati za kupigania uhuru wa taifa letu na kuasisi chama cha mapinduzi (CCM) mzee Mtopa amedumu kama mshauri wa chama na viongozi wa chama ngazi za msingi mpaka taifa.

Uongozi wa Halmashauri ya wilaya ya Kilwa chini ya mkuu wa Wilaya Mhe. Christopher Ngubiagai, Mweneyekiti wa halmashauri Mhe. Abuu musa Mjaka na Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya kilwa Ndg. Zablon Bugingo  unatoa salamu za pole kwa familia ya marehemu , ndugu, jamaa na marafiki waliofikwa na msiba huu, Mungu awape ustahamilivu na nguvu katika kipindi hiki kigumu.

Mwenyezi Mungu aiweke roho ya marehemu mahala pema.

Amin.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI HALMASHAURI YA WILAYA YA KILWA September 03, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KILWA DC YAANZA KWA KISHINDO SHIMISEMITA

    August 16, 2025
  • MTANDAO WA BMU WAELEZA FAIDA ZA ZIARA YA MAFUNZO MKOANI TANGA

    August 15, 2025
  • DED NA TIMU YA UFUATILIAJI KILWA WAFANYA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO

    August 14, 2025
  • KAMATI ZA MAANDALIZI YA SHEREHE ZA MAJIMAJI KILWA ZAKUTANA KUJADILI MAANDALIZI YA SHEREHE HIZO

    August 13, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa