• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

TANGAZO LA AWAMU YA PILI YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

Posted on: April 15th, 2025

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetangaza kuanza kwa awamu ya pili ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura sambamba na uwekaji wazi wa Daftari la Awali la Wapiga Kura kuanzia Mei 1 hadi Julai 4, 2025, ili kutoa fursa kwa wananchi kujiandikisha, kurekebisha taarifa na kutoa pingamizi dhidi ya wasio na sifa.

Akizungumza leo Aprili 14, 2025 jijini Dodoma, Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji wa Rufani Mhe. Jacobs Mwambegele amesema zoezi hilo litafanyika kwa mizunguko mitatu, ambapo mzunguko wa kwanza utahusisha mikoa 15, wa pili mikoa 16, na wa tatu vituo vya magereza na vyuo vya mafunzo Tanzania Bara na Zanzibar.

Mhe. Jaji Mwambegele amebainisha kuwa jumla ya vituo 7,869 vitatumika katika zoezi hili, ambapo vituo 7,659 vipo Tanzania Bara na vituo 210 vipo Zanzibar. Tume inatarajia kuwaandikisha wapiga kura wapya 1,396,609, huku wapiga kura 1,092,383 wakiboresha taarifa zao na 148,624 wakiondolewa kwa kukosa sifa.

Uboreshaji huo utafanyika katika ngazi ya kata kwa Tanzania Bara na ngazi ya jimbo kwa Zanzibar, na utahusisha pia utoaji wa kadi mpya kwa waliopoteza au kuharibu, pamoja na kuwapa nafasi wapiga kura kuhama maeneo yao ya awali au kufanya marekebisho ya taarifa binafsi.

Aidha, Daftari la Awali la Wapiga Kura litawekwa wazi kwa umma kupitia vituo vyote vilivyotumika katika awamu ya kwanza ya uboreshaji, ili kuruhusu ukaguzi, marekebisho na pingamizi kwa waliomo kwenye daftari ambao hawana sifa, kwa mujibu wa sheria ya uchaguzi Na. 1 ya mwaka 2024.

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi inawahamasisha wananchi wote wenye sifa kujitokeza kwa wingi kushiriki katika zoezi hili muhimu kwa mustakabali wa haki yao ya kidemokrasia, kuhakikisha taarifa zao ziko sahihi kabla ya uchaguzi mkuu wa 2025.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KILWA YAADHIMISHA MIAKA 61 YA MUUNGANO KWA USAFI WA MAZINGIRA NA UPANDAJI MITI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO KILWA YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEZO

    April 24, 2025
  • DED KILWA AWATAKA WATENDAJI WA KATA KUSIMAMIA AFUA ZA LISHE KWA WATOTO MASHULENI

    April 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO YARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA MIRADI KATA YA K/SINGINO NA MASOKO

    April 22, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa