• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

TAMCO NA UWAMIKO WASHIRIKI ZOEZI LA UPANDAJI WA MITI YA MIKOKO KILWA

Posted on: August 26th, 2025

Taasisi ya Tanzania Agroforestry and Marine Conservation Organization (TAMCO) kwa kushirikiana na Kikundi cha Umoja wa Wapanda Mikoko (UWAMIKO), Afri Craft pamoja na Timu ya Wataalam wa Mazingira kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa, wameendesha zoezi la upandaji wa miti ya mikoko katika maeneo yaliyoharibika, ikiwa ni sehemu ya jitihada za kulinda mazingira na kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi.


Zoezi hilo limefanyika tarehe 26 Agosti 2025 katika pwani ya Matuso, kata ya Masoko, ambapo jumla ya miche 4,339 ya mikoko imepandwa. Upandaji huo unalenga kurejesha uoto wa asili, kuimarisha kinga za pwani na kuendeleza urithi wa mazingira kwa vizazi vijavyo.


Afisa utawala TAMCO, Joel Fares amesema kuwa ushiriki wao katika zoezi hilo ni kuunga mkono jitihada za jamii katika utunzaji wa mazingira na kuhamasisha vizazi vijavyo kutunza rasilimali za asili.


Akitoa elimu juu ya umuhimu wa Mikoko moja ya wanakikundi cha UWAMIKO Ndg. Seif Najumwe ameeleza kuwa mikoko ni ngao ya asili ya pwani kwani husaidia kudhibiti mmomonyoko wa ardhi, kulinda fukwe dhidi ya mawimbi makubwa pamoja na kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi.


Aidha, alibainisha kuwa mikoko ni makazi muhimu ya viumbe hai hususan samaki, kaa na ndege wa pwani, jambo linalochangia kuimarisha shughuli za uvuvi na kuendeleza rasilimali za bahari kwa manufaa ya jamii.


Kwa upande wao, Taasisi ya Afri Craft Tanzania waliwapongeza washiriki wote kwa mshikamano na mchango wao katika utunzaji wa mazingira, wakisisitiza kuwa mshirikiano wa kijamii na taasisi ni nguzo muhimu ya kufanikisha mapambano dhidi ya mabadiliko ya tabianchi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI HALMASHAURI YA WILAYA YA KILWA September 03, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • DED KILWA AKABIDHI PIKIPIKI KWA MAAFISA MAENDELEO YA JAMII ILI KUIMARISHA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANANCHI

    September 09, 2025
  • TIMU YA WASICHANA KILWA "KILWA PRINCESS" YAZINDULIWA RASMI NA KUFANYA HARAMBEE KWA WADAU

    September 06, 2025
  • MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA AWAPIGA MSASA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA KILWA

    September 01, 2025
  • WAJIBU INSTITUTE NA PPRA WATOA MAFUNZO KWA MAKUNDI MAALUM JUU YA FURSA ZA UNUNUZI WA UMMA

    September 01, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa