• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

Songas yamwaga vifaa vya milioni 15 Kilwa

Posted on: July 19th, 2018

Kilwa,      

       Halmashauri ya wilaya ya Kilwa imepokea msaada wa vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni kumi na tano kutoka  Kampuni ya Songas.

Akizungumza wakati wa makabidhiano hayo yaliyofanyika Julai 18 katika viunga vya halmashauri ya wilaya ya kilwa Meneja mahusiano ya jamii kutoka kampuni ya Songas Bw. Nicodemus Chipakapaka amesema kampuni ya Songas itaendelea kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa katika masuala mbalimbali ya kimaendeleo.

“Kwa muda mrefu tumekuwa tukishiriki katika kusiadia jamii katika Nyanja tofauti tofauti kama vile elimu, afya na zinginezo.

Leo tumekabidhi Kompyuta, Printa na vifaa vingine ambavyo vina thamani ya Shilingi milioni kumi na tano kwa ajili ya vituo vya kutolea huduma ya afya na tutaendelea kushirikiana katika mambo mengine kadri tuwezavyo” alisema Chipakapaka.

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa Bw. Zablon Bugingo (kushoto) akipokea printa kutoka kwa Meneja  Mahusiano ya jamii , Kampuni ya Songas Ndg. Nicodemus Chipakapaka katika hafla fupi ya Makabidhiano iliyofanyika Makao makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa (Picha: Ally Ruambo).

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa Bw. Zablon Bugingo ameishukuru kampuni ya songas kwa msaada wa vifaa hivyo na kuahidi kuvitumia vizuri katika kuimarisha mfumo wa taifa wa kuhifadhi taarifa Hospitalini GoTHoMIS katika Hospitali ya Wilaya na kufunga Mfumo wa GoTHoMIS  katika kituo cha Afya Masoko ili kuongeza mapato zaidi.

Bugingo amesema kabla ya mfumo wa GoTHoMIS makusanyo katika Hospitali ya Kinyonga yalikua ni kati ya milioni moja mpaka milioni mbili kwa mwezi na baada ya mfumo makusanyo yamepanda mpaka kufikia milioni tisa mpaka kumi kwa mwezi.

“Hospitali ile ya Wilaya ilikua inauwezo wa kukusanya kati ya milioni  moja mpaka milioni mbili lakini baada ya kufunga huu mfumo sasa hivi inaweza kujikusanyia kati ya milioni tisa mpaka kumi kwa mwezi, kwa hiyo kwa vifaa hivi vipya tutaenda kuboresha mfumo na tunaimani mapato yataongezeka zaidi pale hospitali na katika kituo cha Afya Masoko ambapo mfumo wa GoTHoMIS unaenda kuanzishwa.

 Huu ni mwanzo tu lakini baadaye vituo vyetu vyote vitatumia mfumo huu katika kuendesha shughuli zake za kila siku” alisema Bugingo.

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa Bw. Zablon Bugingo akizungumza na waandishi wa Habari baada ya  kukabidhiwa Vifaa mbalimbali kutoka Kampuni ya Songas katika hafla fupi iliyofanyika Makao makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa (Picha: Ally Ruambo).

Naye Mganga mkuu wa Wilaya ya Kilwa Dokta. Khalfan ameishukuru Kampuni ya Songas kwa msaada wao na kukaribisha Makampuni na Mashirika mengine kusaidia Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa.

Wakuu wa Idara na Vitengo Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa wakiwa  katika hafla fupi ya Makabidhiano ya Vifaa kutoka Kampuni ya Songas, Mkabidhiano iliyofanyika Makao makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa (Picha: Ally Ruambo).

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • BANDARI YA UVUVI KILWA KUKAMILIKA MWEZI JUNI 2025

    May 08, 2025
  • KAMATI YA SIASA YA CCM MKOA WA LINDI YAIPONGEZA KILWA KWA UTEKELEZAJI WA ILANI

    May 07, 2025
  • KILWA YAPIGA HATUA KATIKA KUTOKOMEZA UKATILI WA KIJINSIA DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO

    May 06, 2025
  • WANANCHI, WANAFUNZI NA WATUMISHI KILWA WAJITOKEZA KWA MAZOEZI YA PAMOJA UWANJA WA MWENGE/TAIFA

    May 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa