• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

Silinde apongeza ujenzi wa madarasa kilwa

Posted on: February 16th, 2021

Naibu Waziri wa nchi ofisi ya Rais- Tamisemi Mhe.David Silinde amewapongeza viongozi wa halmashauri ya Wilaya ya Kilwa kwa ujenzi wa madarasa bora na kwa wakati.Mhe.Silinde ameyasema hayo katika siku yake ya kwanza ya Ziara ya siku nne katika mkoa wa Lindi .Mhe.Silinde alianza ziara yake katika shule ya sekondari Mingumbi ambapo alikagua ujenzi wa madarasa mawili  yaliyojengwa kwa fedha za mradi wa EP4R na darasa moja lililojengwa kwa mapato ya ndani ya Halmashauri .Baadaye Mhe.Silinde alitembelea shule ya sekondari Kivinje ambapo madarasa matano yamejengwa kwa fedha za ndani kwa thamani ya sh.milioni 75 ambapo madarasa yote yamekamilika na yameanza kutumika.Mhe.Silinde pia alitembelea kikundi cha vijana cha Kivinje Jogging Club kinachojishughulisha na uzoaji wa taka kwa kutumia gari lenye thamani ya shilingi milioni 18 walilokopeshwa  na halmashauri ikiwa ni sehemu ya mikopo ya asilimia kumi ya mapato ya ndani kwa vijana ,wanawake na walemavu ambapo aliwapongeza na kuwataka wabuni miradi mingine zaidi ili kuweza kujiongezea kipato.Halmashauri ya wilaya ya Kilwa ilikuwa na upungufu wa madarasa saba kwa ajili ya wanafunzi ya kidato cha kwanza ambapo mpaka sasa halmashauri imetumia zaidi ya milioni 105 kwa ajili ya ukamilishaji wa madarasa hayo katika shule za Ally Mchumo, Kikanda ,Kivinje ,Dodomezi na Namayuni.Mkurugenzi wa halmashauri ya Wilaya ya kilwa Bw.Renatus Mchau amemuhakikishia Mhe.Silinde kuwa mpaka sasa halmashauri yake haina upungufu wa madarasa kwa shule za sekondari.Baada ya kufanya majumuhisho ya ziara Hiyo ya siku moja ,mhe.Silinde ameelekea Wilaya ya Liwale ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya siku nne .David LangaAfisa Habari16/02/2021

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MAKALA APONGEZA JITIHADA ZA KURUDISHA MAWASILIANO SOMANGA

    April 10, 2025
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa Mkono wa Eid kwa watoto wenye mahitaji Maalum Shule ya Msingi Mtanga Wilayani Kilwa.

    March 31, 2025
  • IDARA YA MAENDELEO YA JAMII YATOA MSAADA WA TELEVISHENI KWA GEREZA LA KILWA MASOKO

    April 28, 2025
  • MARAFIKI WA ELIMU WAWASILISHA TAARIFA YA UFUATILIAJI WA MAKUZI YA AWALI YA MTOTO KWA WADAU WA ELIMU KILWA.

    April 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa