• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

SERIKALI YAFANYA UKAGUZI WA MIRADI YA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI WILAYANI KILWA

Posted on: July 9th, 2025

Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum kupitia Idara ya Usajili na Uratibu wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGOs), imefanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa na mashirika yasiyo ya kiserikali katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa, mkoani Lindi.

Ukaguzi huo umefanyika kama sehemu ya maandalizi ya Jukwaa la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali Mkoa wa Lindi, linalotarajiwa kufanyika tarehe 10 Julai 2025. Lengo kuu la jukwaa hilo ni kutathmini mchango wa mashirika katika ustawi wa jamii, kuainisha changamoto wanazokutana nazo, na kuimarisha ushirikiano kati yao na Serikali katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

Katika ziara hiyo, wataalamu hao walitembelea miradi ya mashirika ya MPINGO, TUJIWAKI na ACTIONAID, ambayo yanalenga kuwawezesha wanawake kiuchumi, kuboresha ustawi wa watoto, na kusaidia makundi maalum ndani ya jamii.

Akizungumza wakati wa ukaguzi huo, Afisa Tathmini na Ufuatiliaji wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali, Bi. Liliani Mganda, amesema

“Lengo letu si tu kufuatilia utekelezaji wa miradi, bali pia kuelewa namna mashirika haya yanavyochangia katika maendeleo ya wananchi, kubaini changamoto wanazokumbana nazo, na kuimarisha uratibu kati yao na Serikali.”

Mashirika yaliyotembelewa yaliwasilisha mafanikio mbalimbali yaliyopatikana kupitia utekelezaji wa miradi yao, ikiwemo ongezeko la uelewa wa kijinsia katika jamii, uimarishaji wa fursa za kiuchumi na ajira kwa wanawake na vijana, pamoja na utoaji wa msaada wa kisheria kwa wananchi.

Hata hivyo, mashirika hayo pia yalibainisha changamoto kadhaa zinazokwamisha utekelezaji wa miradi yao, zikiwemo ukosefu wa rasilimali za kifedha, uelewa mdogo wa jamii kuhusu miradi, na uhaba wa wataalamu wa kutekeleza shughuli za kiufundi.

Jukwaa la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali la Mkoa wa Lindi linatarajiwa kuwa jukwaa muhimu kwa ajili ya wadau wa maendeleo kubadilishana uzoefu, kujadili changamoto zinazowakabili na kuweka mikakati ya pamoja ya kuleta maendeleo kwa wananchi wa Lindi na taifa kwa ujumla

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFANYA UKAGUZI WA MIRADI YA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI WILAYANI KILWA

    July 09, 2025
  • HALMASHAURI YA KILWA YADUMISHA USHIRIKIANO NA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI KUPITIA JUKWAA LA PAMOJA

    July 01, 2025
  • KILWA YAPOKEA RUZUKU YA CHANJO ZA MIFUGO KWA AJILI YA KUKABILI MAGONJWA HATARI

    June 26, 2025
  • KAYA 4,024 KUNUFAIKA NA TSH. MILIONI 129,297,000/= ZA TASAF KUNUSURU KAYA ZA WALENGWA

    July 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa