• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

SERIKALI KUENDELEA KUWEKA MAZINGIRA WEZESHI KWA NGO's LINDI

Posted on: July 10th, 2025

Serikali Mkoani Lindi inatambua mchango wa mashirika yasiyo ya kiserikali Mkoani humo na hivyo inaendelea kuweka mazingira mazuri na wezeshi ili yaweze kujiendesha na kuwahudumia wananchi.


Kauli hiyo imetolewa leo Julai 10,2025 na Mkuu wa Wilaya ya Lindi Mhe. Victoria Mwanziva kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Hajjat Zainab Telack katika ufunguzi wa Kongamano la Mwaka la Mashirika yasiyo ya kiserikali Mkoani humo lililofanyika katika ukumbi wa Mkutano wa Manispaa ya Lindi.


Mhe. Mwanziva amepongeza NGO's zinazoendelea kufanya kazi ndani ya Mkoa wa Lindi ikiwa ni kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Rais Mhe. Dkt.Samia Suluhu Hassan na ndio maana ipo Wizara ya Maendeleo ya Jamii inayosimamia vyema mashirika hayo kwa kuyatambua kama nguzo muhimu ya maendeleo ya kijamii, kiuchumi na kama wabia muhimu katika maendeleo ya Taifa kwa kuhusisha wafadhili na watu walio katika hali mbalimbali.


Amesema kongamano hilo linaakisi tathmini ambayo serikali imekuwa inafanya kwa mashirika yasiyo ya kiserikali kwa kipindi cha miaka mitano ikilenga kuona mchango wa mashirika hayo kifursa ,changamoto na kupitia uendeshaji na shughuli zinazofanywa huku kupitia Sera ya Taifa ya mashirika yasiyo ya kiserikali ya mwaka 2001 ikiendelea kuweka msingi wa uratibu wa mashirika hayo katika kujisajili nchini na kuainisha vyombo vya usimamizi.


Kwa upande wake Mwakilishi kutoka Wizara ya Maendeleo ya jamii Bi. Francesca Herias amehimiza na kukumbusha wajumbe wa kongamano hilo kuendelea kuzingatia sheria na taratibu za uendeshaji wa mashirika hayo ikiwemo kuwasilisha taarifa za mwaka sambamba na kuwa na miradi ambayo itawasaidia kujiendesha hata wanapokosa ufadhili.


Awali, Mwenyekiti wa Mashirika yasiyo ya kiserikali Taifa Ndg.Gasper Makala ameeleza lengo la kongamono hilo licha ya kujadili changamoto bali kukumbushana wajibu na majukumu ya mashirika yasiyo ya kiserikali .


Na Msajili msaidizi wa Mashirika yasiyo ya kiserikali Mkoa wa Lindi Ndg.Charles Kigahe, ametoa wito kwa mashirika yote ya mkoa wa Lindi ambayo yamesajiliwa kufanyakazi kulingana na mpango na malengo husika.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • SERIKALI KUENDELEA KUWEKA MAZINGIRA WEZESHI KWA NGO's LINDI

    July 10, 2025
  • SERIKALI YAFANYA UKAGUZI WA MIRADI YA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI WILAYANI KILWA

    July 09, 2025
  • HALMASHAURI YA KILWA YADUMISHA USHIRIKIANO NA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI KUPITIA JUKWAA LA PAMOJA

    July 01, 2025
  • KILWA YAPOKEA RUZUKU YA CHANJO ZA MIFUGO KWA AJILI YA KUKABILI MAGONJWA HATARI

    June 26, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa