• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

SEA SENSE YAJA NA MPANGO WA UTUNZAJI WA RASILIMALI ZA BAHARI NA PWANI KILWA.

Posted on: February 11th, 2025

Shirika lisilokuwa la Kiserikali lenye usajili namba OONGO/0506 liitwalo Sea Sense, limesema limeandaa mpango wa utunzaji wa Rasilimali za Bahari na Pwani katika Wilaya ya Kilwa hususani katika maeneo ya Kilwa Kusini.

Hayo yameelezwa wakati wa kikao cha pamoja baina ya Shirika hilo na Timu ya Menemeti ya Halmashauri ya Wilaya ya kilwa (CMT) kilichofanyika kwa lengo la kuwasilisha mipango ya miradi inayotekelezwa na Shirika hilo tarehe 11/02/2025 katika ukumbi wa Chuo cha Maendeleo ya Wananchi (FDC) Kilwa Masoko.

Katika wasilisho hilo Afisa Miradi kutoka Sea sense Ndg.Benard Kaitila amesema kuwa Shirika hilo linalenga kuhuisha na kuanzisha vikundi vya Usimamizi shirikishi (BMU) Kilwa Kusini, Kuzijengea uwezo BMU kwa mafunzo na Vitendea kazi, kuwezesha mchakato wa kuunda maeneo ya uvuvi ya Usimamizi wa Pamoja (CFMA), kuimarisha Usalama wa Chakula kwa kuwezesha matumizi endelevu ya mazao ya uvuvi na kuimarisha mashirikiano na wadau.

Kwa upande wake katibu Tawala wa Wilaya ya Kilwa Mhe. Yusuf Mwinyi ametoa pongezi kwa Sea Sense kwa kazi wanayoifanya katika utunzaji wa eneo la pwani Wilayani Kilwa, Aidha amewasihi kuitazama shughuli ya upandaji mikoko baharini kama shughuli ya kimkakati katika kutunza eneo la pwani lakini pia mikoko hiyo itatumika kupunguza nguvu ya mawimbi yanayokuja eneo la nchi kavu.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Sea Sense Ndg. Gosbert Katunzi ameeleza kuwa shirika lao limejipanga vyema kutekeleza majukumu yao na kwa sasa wanatekeleza miradi hiyo kwa njia shirikishi kwa kuzingatia makundi maalumu katika jamii ambayo ni makundi ya Wanawake, Vijana na Watu wenye mahitaji maalumu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI HALMASHAURI YA WILAYA YA KILWA September 03, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KILWA DC YAANZA KWA KISHINDO SHIMISEMITA

    August 16, 2025
  • MTANDAO WA BMU WAELEZA FAIDA ZA ZIARA YA MAFUNZO MKOANI TANGA

    August 15, 2025
  • DED NA TIMU YA UFUATILIAJI KILWA WAFANYA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO

    August 14, 2025
  • KAMATI ZA MAANDALIZI YA SHEREHE ZA MAJIMAJI KILWA ZAKUTANA KUJADILI MAANDALIZI YA SHEREHE HIZO

    August 13, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa