• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

Rc Zambi atembelea kiwanda cha Nitro Explosives Tanzania

Posted on: July 29th, 2018

Kilwa,

Mkuu wa mkoa wa lindi Mheshimiwa Godfrey Zambi ametembelea kiwanda cha Nitro Explosives Tanzania kilichopo katika kijiji cha Mavuji Wilayani Kilwa ambacho kinajihusisha na Uzalishaji wa Vilipuzi.

Akisoma taarifa kwa Mkuu wa Mkoa, Meneja Maendeleo Mapya ya Kampuni ya Nitro Explosives Tanzania Bw. Emmanuel Teekishe amesema Nitro Explosives Tanzania ipo katika hatua za mwisho kukamilisha ujenzi wake na wanatarajia kuanza uzalishaji Mwezi June 2019.

Bwana Teekishe amesema sanjari na ajira kwa vijana wa Kilwa, Halmashauri ya wilaya ya Kilwa itafaidika na kodi ambayo itakua ikilipwa baada ya kuanza kwa  uzalishaji.

Pia amesema wakazi wa kijiji cha mavuji watafaidika na huduma za kijamii kama vile huduma ya maji safi na salama pamoja na kuboreshewa Zahanati ya Kijiji cha mavuji.

“Kuna baadhi ya mambo ambayo Kampuni itawafanyia wakazi wa Kijiji cha Mavuji baada ya kuanza uzalishaji. Tumepanga kuwachimbia Visima vya Maji safi na salama pamoja na kuboresha Zahanati ya mavuji, Kabla tulipanga kuwapelekekea huduma ya Maji kupitia visima ambavyo vimechimbwa hapa eneo la Kiwandani lakini kwa bahati mbaya ni Kisima kimoja tu kinatoa maji yasiyo na Chumvi na vilivyo baki vinatoa maji yenye Chumvi na kimoja hakitoi maji kabisa.

kutokana na sababu hiyo uongozi umeamua kwenda kuchimba Visima palepale Kijijini na Maji yanayopatikana hapa tutaendelea kuyatumia kwa matumizi mengine  ya hapa kiwandani.

Kuhusu suala la Afya tumepanga kwenda kuboresha  kile kituo kilichopo kwa sasa na kuongeza majengo yatakayo hitajika kutokana na uwezo wetu” alisema Teekishe.

Teekishe amesema kwa sasa kampuni ya Nitro Explosives Tanzania imetoa fursa kwa wakazi wa kijiji cha Mavuji kutumia gari ya kubebea wagonjwa muda wowote bila ya malipo.

“Kwa sasa kampuni yetu imetoa ruhusa kwa wanakijiji wa Mavuji kutumia gari ya kubebea wagonjwa (Ambulance) inayomilikiwa na kampuni hii bila malipo pindi itakapo hitajika, Madereva tunao na gari ipo kwahiyo muda wowote sisi tupo tayari kuwasaidiana nao” alihitimisha Teekishe.

Mkuu wa mkoa wa lindi Mh Godfrey Zambi (wa kwanza kushoto) akipokea maelezo kutoka kwa mmoja wa wataalamu wa kiwanda cha Nitro Explosives Tanzania alipotembelea kiwandani hapo June 26, wa pili kutoka kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya KIlwa Mheshimiwa Christopher Ngubiagai (PICHA :Ally Ruambo)

Kwa upande wake mkuuu wa mkoa wa Lindi Mh. Zambi  ameushukuru uongozi wa Kampuni ya Nitro Explosives Tanzania kwa kuamua kuwekeza katika mkoa wa Lindi na kuunga mkono jitihada za  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dokta John Pombe Magufuli  za kuifanya Tanzania kuwa nchi ya viwanda

Aidha amewataka kujenga mahusiano mazuri kati yao na wananchi wanaowazunguka pamoja na serikali.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MAKALA APONGEZA JITIHADA ZA KURUDISHA MAWASILIANO SOMANGA

    April 10, 2025
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa Mkono wa Eid kwa watoto wenye mahitaji Maalum Shule ya Msingi Mtanga Wilayani Kilwa.

    March 31, 2025
  • IDARA YA MAENDELEO YA JAMII YATOA MSAADA WA TELEVISHENI KWA GEREZA LA KILWA MASOKO

    April 28, 2025
  • MARAFIKI WA ELIMU WAWASILISHA TAARIFA YA UFUATILIAJI WA MAKUZI YA AWALI YA MTOTO KWA WADAU WA ELIMU KILWA.

    April 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa