• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

RC.Zambi asisitiza uadilifu, uwajibikaji kwa watumishi wa umma

Posted on: May 21st, 2019

RC.Zambi asisitiza uadilifu, uwajibikaji kwa watumishi wa umma

Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe.Godfrey Zambi anaendelea na ziara ya kikazi  ya siku tano katika Wilaya ya Kilwa. Katika siku ya kwanza ya ziara Mhe Zambi alikagua miradi ya maendeleo, kusikiliza kero za wananchi pamoja na kuongea na watumishi katika kata ya Kipatimo.

Katika kata ya Somanga, Mhe.Mkuu wa Mkoa alikagua ujenzi wa Kituo cha Afya cha Somanga ambacho kilianza kwa nguvu za wananchi na sasa kimepata ufadhili kutoka kampuni ya uchimbaji gesi ya Pan Africa Energy Tanzania wenye thamani ya shilingi milioni mia nane(800 milioni).

Katika siku ya pili ya ziara ya Mhe.Mkuu wa mkoa alitembembea tarafa ya Pande na kukagua ujenzi wa Kituo cha Afya cha Pande kinachojengwa kwa utaratibu wa maboresho ya sekta ya Afya inayosimamiwa na Ofisi ya Rais TAMISEMI ambapo kituo hicho kilipokea shilingi milioni mia nne na mpaka sasa ujenzi umefika asilimia 85 katika hatua ya umaliziaji.

Siku ya tatu ya ziara ya Mkuu wa Mkoa akiwa ameambatana na Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Mhe.Christopher Ngubiagai, kamati ya Ulinzi na usalama, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya a Kilwa Ndg Renatus Mchau, wakuu wa Idara na Vitengo , Mhe.Mkuu wa Mkoa alianza ziara katika Kata ya Tingi kukagua ujenzi wa Kituo cha Afya cha Tingi kinachojengwa kwa thamani ya shilingi Milioni mia nne(400milioni) toka ofisi ya Rais Tamisemi. Akiwa katika kituo cha Afya-Tingi, Mkuu wa mkoa alioneshwa kuridhishwa na ujenzi lakini akasisitiza hatua iliyofikiwa kukamilishwa kabla ya mwezi wa Julai mwaka huu ili majengo hayo yaanze kutumika.

Baada ya hapo Mkuu wa Mkoa alipata nafasi ya kuongea na watumishi wa Halmashauri katika ukumbi wa Chuo cha Maendeo Kilwa ambapo alisisitiza uwajibikaji wa watumishi katika kuwatumikia wananchi, sisi ni watumishi wa umma, lakini wajibu wetu mkubwa ni kuwatumikia wananchi, tuwatumikie bila kubagua na bila kuomba rushwa ili tutoe huduma’’ aliongeza Mhe.Zambi. Mhe.Zambi aliongeza kuwa kila mtumishi ajue dhamana aliyokabidhiwa katika serikali na kuhakikisha malengo ya serikali ya awamu ya tano ya Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli yanafikiwa.

Kesho tarehe 22 Mhe.Zambi ataendelea na ziara katika Wilaya ya Kilwa…..

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • BANDARI YA UVUVI KILWA KUKAMILIKA MWEZI JUNI 2025

    May 08, 2025
  • KAMATI YA SIASA YA CCM MKOA WA LINDI YAIPONGEZA KILWA KWA UTEKELEZAJI WA ILANI

    May 07, 2025
  • KILWA YAPIGA HATUA KATIKA KUTOKOMEZA UKATILI WA KIJINSIA DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO

    May 06, 2025
  • WANANCHI, WANAFUNZI NA WATUMISHI KILWA WAJITOKEZA KWA MAZOEZI YA PAMOJA UWANJA WA MWENGE/TAIFA

    May 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa