• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

Mhe. Zambi awaonya wanaopanga kuvunja amani

Posted on: April 26th, 2018

Kilwa,

 

Mkuu wa mkoa wa Lindi Mhe. Godfrey Zambi akisalimiana na watumishi mbalimbali kutoka idara ya Afya baada ya kuwasili katika viwanja vya Garden Mkapa  mjini Kilwa Masoko tayari kwa maadhimisho ya siku ya Malaria Duniani (Picha na Ally Ruambo).

    Wananchi Wilayani Kilwa wametakiwa kuithamini na kuilinda amani ya nchi kwa hali na mali.

Wito huo umetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Godfrey Zambi  April 26 alipokua akihitimisha maadhimisho ya siku ya Malaria duniani iliyoadhimishwa ki Mkoa Wilayani Kilwa katika viunga vya Garden  Mkapa.

Zambi emesema kuna Watu ambao wamekuwa hawaitakii mema Tanzania, wanataka kuivunja misingi imara ya upendo na Amani iliyowekwa na waasisi wa Taifa Mwalimu Julias Nyerere na mzee Abeid Karume.

“Kuna watu wanataka kuvunja amani ya nchi hii iliyowekwa na waasisi wetu Mwalimu Julias Nyerere na Mzee Abeid Karume naomba tusikubaliane nao, kuna maeneo Watu hawezi kukutana kama jinsi tulivyokutana sisi hapa leo kutokanna na amani kutoweka.

Nikiwa kama Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama Mkoa niwahakikishie kwamba tutawashughulikia wale wote ambao kwa namna moja au nyingine watajaribu kuvunja amani tuliyo nayo” alisema Zambi.

Adha, amewataka wananchi kuzipuuzia imani potofu zinazosambazwa na watu juu ya matumizi ya vyandarua kwani hazina ukweli wowote.

“Kuna watu wanasenma kwamba akitumia chandarua, akiwa amelala anaona kama yupo kwenye Jeneza, sasa hata kama unaogopa Jeneza kwani kuna ambaye hatokufa? Wengine wanasema ooh zinapunguza nguvu za kiume, ni uzushi huu ndugu wananchi naomba tuupuze na tutumie vyandarua kwa ajiri ya kujikinga na Mbu waenezao Malaria” alisisitiza Zambi.

Pia amewataka Wananchi kufuata maelekezo ya Wataalumu juu ya kujikinga na Malaria ikiwemo kuangamiza kabisa mazalia ya Mbu kwa kufukia madimbwi ya maji machafu, kufyeka Vichaka kuzunguka makazi na njia nyinginezo.

Awali akitoa salamu za wilaya Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Mhe. Christopher Ngubiagai ameshukuru kwa Wilaya ya Kilwa kupewa Hadhi ya kuwa Mwenyeji wa Maadhimisho ya siku ya Malaria duniani ki Mkoa na kuwataka Wananchi kujikinga na Malaria kwa kufanya usafi wa mazingira , kuangamiza mazalia ya Mbu na kutumia Vyandarua ipasavyo.

Mgeni rasmi katika maadhimisho ya siku ya Malaria Duniani Mkoa wa Lindi yaliyofanyitika Wilayani Kilwa Mhe. Godfrey Zambi akipata maelezo ya jinsi Malaria inavyozuiwa alipotembelea moja wapo ya mabanda yaliyoshiriki katika maonyesho ya  siku ya Malaria Duniani (Picha na Ally Ruambo).

Kila ifikapo April 25 Dunia uadhimisha siku ya Malaria duniani kwa kukutana na kujadili mafanikio na na changamoto mbalimbali ambazo zinakwamisha jitihada za kumaliza tatizo la Malaria na kuzitafutia ufumbuzi pamoja na kutoa elimu ya kina juu ya madhara na jinsi ya  kujikinga na ugonjwa huo hatari.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • BANDARI YA UVUVI KILWA KUKAMILIKA MWEZI JUNI 2025

    May 08, 2025
  • KAMATI YA SIASA YA CCM MKOA WA LINDI YAIPONGEZA KILWA KWA UTEKELEZAJI WA ILANI

    May 07, 2025
  • KILWA YAPIGA HATUA KATIKA KUTOKOMEZA UKATILI WA KIJINSIA DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO

    May 06, 2025
  • WANANCHI, WANAFUNZI NA WATUMISHI KILWA WAJITOKEZA KWA MAZOEZI YA PAMOJA UWANJA WA MWENGE/TAIFA

    May 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa