• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

Msiwabambikie wananchi bili za Maji- Ngubiagai

Posted on: February 9th, 2020


Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Mhe.Christopher Ngubiagai amewataka Wakala wa Maji vijijini Wilaya ya Kilwa(RUWASA) kutowabambikia wananchi bili za maji tofauti ya matuzmizi yao.

Mhe.Ngubiagai ameyasema hayo katika siku ya uzinduzi wa Mwongozo wa Jumuhia za huduma za maji ngazi ya jamii katika Wilaya ya Kilwa, Mkuu wa Wilaya alieleza kuwa pamoja na kuwa wakala(RUWASA) anatakiwa kujiendesha bila kupata hasara lakini kwa sera za nchi na chini ya serikali ya awamu ya tano chini ya Mhe.Dr.John Pombe Magufuli , bado maji ni sehemu ya huduma na si biashara na hivyo wananchi wote wana haki ya kupata maji safi na salama kwa gharama nafuu lakini pia bila kuletewa bili kubwa tofauti na matumizi yao. ‘Ndugu zangu , najua mna changamoto nyingi, lakini hili lipo ndani ya uwezo wenu, hakikisheni wananchi hao asilimia 62 walio kwenye mtandao wenu wa maji wanapata maji kwa uhakika na wanaridhika na huduma yenu’’ alisisitiza Mhe.Ngubiagai.

Kwa uapnde wake mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa Mh.Abuu Mjaka aliwataka wana jumuhia ngazi ya jamii waliokabidhiwa  dhamana ya kusimamia miradi ya maji kwa niaba ya wengine kufanya kazi hiyo kwa uadilifu mkubwa ili kuhakikisha miradi hiyo inakuwa endelevu na kutoa nafasi kwa wakala kuwafikia wengine ambao mpaka sasa hawajafikiwa. ‘’Nimeambiwa hapa upatikanaji wa maji vijijini ni asilimia 59  na mjini ni aslimia 89 lakini bado uharibifu katika miundombinu hii iliopo ni mkubwa sana wakati nyie mpo na mnawafahamu wachache wanaohujumu huduma hizi’’ aliongeza Mhe.Mjaka.

Kwa upande wake Meneja wa RUWASA Wilaya ya Kilwa Mhandisi Ramadhani Mabula alimhakikishia mgeni rasmi kuwa wao kama Wakala wanaendelea kuhakikisha huduma za maji zinapatikana kwa wakati na kwa uhakika huku akizitaja baadhi ya changamoto zinazowakumba kuwa ni pamoja na taasisi nyingi za serikali kuchelewa kuchelewa kulipa bili,ukataji wa bomba unaofanywa na wafugaji kwa lengo la kunywesha mifugo yao,Maji ya chumvi kuingilia miundombinu ambayo huko awali haikuwepo na kukatika kwa umeme mara kwa mara kunakopelekea mashine za kusukuma maji(Pampu) kuunguana kuharibika kabisa.

Mhandisi Mabula amesema pamoja na changamoto hizo lakini wameendelea kuboresha huduma ikiwa ni pamoja na kutoa elimu kwa jamii,kuomba Wizara ya Maji kulipa madeni ya wakandarasi kwa wakati pamoja na kuendelea na Tanesco ili kuhakikisha ukatikaji wa umeme mara kwa mara hauathiri mfumo wa maji.

Katika uzinduzi huo wadau kutoka sekta mbali mbali walialikwa  lengo likiwa ni kuhakikisha mkiradi ya maji inayoanzishwa inakuwa endelevu bila kuhujumiwa kama ilivyokuwa huko nyuma ambapo wapo baaddhi ya wana jamii wamekuwa wagumu kutoa ushirikiano wa taarifa za uharibifu unaotokea katika maeneo yao.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • BANDARI YA UVUVI KILWA KUKAMILIKA MWEZI JUNI 2025

    May 08, 2025
  • KAMATI YA SIASA YA CCM MKOA WA LINDI YAIPONGEZA KILWA KWA UTEKELEZAJI WA ILANI

    May 07, 2025
  • KILWA YAPIGA HATUA KATIKA KUTOKOMEZA UKATILI WA KIJINSIA DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO

    May 06, 2025
  • WANANCHI, WANAFUNZI NA WATUMISHI KILWA WAJITOKEZA KWA MAZOEZI YA PAMOJA UWANJA WA MWENGE/TAIFA

    May 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa