• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

Mkuu wa wilaya awaongoza wananchi kufanya mazoezi na usafi.

Posted on: February 26th, 2018

 Kilwa, 

     Wananchi Wilayani Kilwa wame shauriwa kujenga tabia ya kufanya mazoezi ya mwili ili kujiepusha na uwezekano wa kupata magonjwa yasiyoambukizwa.

Ushauri huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Mhe. Christopher Ngubiagai alipokua akihutubia wananchi waliojitokeza kufanya mazoezi ya viungo katika uwanja wa mpira wa miguu wa shule ya msingi Ukombozi mjini Kilwa Masoko.

Ngubiagai amesema mazoezi husaidia kupunguza uwezekano mkubwa wa kupata magonjwa yasio ambukizwa kama vile Kisukari, Shinikizo la damu lakini pia humsaidia mtu kuweza kufikiri kwa haraka zaidi.


Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Mhe. Christopher Ngubiagai (katikati) akiongoza zoezi la mwendo pole (jogging).

Aidha Mhe. Ngubiagai ameagiza wananchi kufanya usafi wa mazingira yanayowazunguka ili kujiepusha na magonjwa ya mlipuko yanayosababishwa na uchafu na kuahidi kuwachukulia hatua wale wote ambao wataenda kinyume na agizo hilo.

“ kuna kikosi kazi kiumendwa kitapita mtaa kwa mtaa kukagua usafi wa mazingira, mazingira ambayo yatakayokutwa hayapo katika hali ya usafi wahusika watawajibishwa” alisistiza Ngubiagai.

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa akishirikiana na wananchi kufanya usafi katika eneo la soko jipya baada ya mazoezi.

Nae Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Kilwa Mhe. Abuu Mussa Mjaka amevitaka vikundi vya Mwendo pole (Jogging clubs) kushiriki katika shughuli za kijamii kama vile kufanya usafi katika maeneo tofauti tofauti ili kuiweka wilaya ya Kilwa katika hali ya usafi.

Akitoa mapendekezo yake mmoja wa wananchi waliojitokeza kufanya mazoezi Bw. Timami amesema itapendeza kama taasisi mbalimbali za kiserikali na binafsi zitaunda kundi (Jogging club) ambalo litakua likifanya mazoezi ya pamoja angalau mara mbili kwa wiki kwani mazoezi hujenga afya, umoja na mshikamano na kuahidi kutoa msada pindi utakapo hitajika.

Sanjari na mazoezi ya viungo lilifanyika zoezi la usafi katika eneo la soko jipya, zoezi ambalo liliongozwa na Mkuu wa wilaya kwa kushirikiana na Kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya, jeshi la polisi, Kivinje Jogging Club, Wanafunzi wa kidato cha tano na sita kutoka Kilwa Sekondari, wananchi pamoja na watumishi mbalimbali wa halmashauri ya wilaya ya kilwa kabla ya zoezi hilo kuhitimishwa kwa bonanza la Mpira wa wavu na Mpira wa Miguu.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MAKALA APONGEZA JITIHADA ZA KURUDISHA MAWASILIANO SOMANGA

    April 10, 2025
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa Mkono wa Eid kwa watoto wenye mahitaji Maalum Shule ya Msingi Mtanga Wilayani Kilwa.

    March 31, 2025
  • IDARA YA MAENDELEO YA JAMII YATOA MSAADA WA TELEVISHENI KWA GEREZA LA KILWA MASOKO

    April 28, 2025
  • MARAFIKI WA ELIMU WAWASILISHA TAARIFA YA UFUATILIAJI WA MAKUZI YA AWALI YA MTOTO KWA WADAU WA ELIMU KILWA.

    April 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa