• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

Mkurugenzi wa uchaguzi awapa somo wasimamizi wa vituo

Posted on: November 29th, 2018

Kilwa,

Wasimamizi wa Vituo vya kupigia kura wametakiwa  kutekeleza majukumu waliyopangiwa kwa uweledi wa hali ya juu na kuachana na ushabiki wa Vyama  wasimamiapo zoezi la upigaji kura.

Wito huo umetolewa leo Disemba 2 na Mkurugenzi wa Uchaguzi Dk. Athumani Kihamia alipokuwa akizungumza na wasimamizi wa Vituo vya kupigia kura katika mafunzo yanayoendelea katika ukumbi wa Chuo cha maendeleo Mjini Kilwa Masoko.

Dk. Kihamia amesema msimamizi hakatazwi kuwa mwanachama wa Chama chochota cha siasa nchini ila haruhusiwi kuleta itikadi pindi anapokuwa anatekeleza majukumu yake ya usimammizi wa zoezi la upigaji kura.

Pia amewataka wasimamizi kuheshimu viapo walivyo apa vya kutunza siri kuanzia kwenye mafunzo, uchaguzi na baada ya uchaguzi kumalizika.

“Naimani kubwa sana na ninyi naimani mpaka kufika hapa mmechujwa vya kutosha na viongozi wenu akiwemo msimamizi wa uchaguzi na timu yake na akaona hawa wanafaa kwenda kusimamia uchaguzi sasa mnatakiwa kuonyesha kile walicho amua kinafanana na ukweli” alisema Kihamia

Wasimamizi wa Vituo vya kupigia kura wakiwa  katika mafunzo yanayoendelea katika ukumbi wa Chuo cha maendeleo Mjini Kilwa Masoko .

Aidha Dk. Kihamia amesema  tume imejipanga kuhakikisha hakuna kifaa  kitakacho kosekana katika vituo vya kupigia kura na kuahidi ulinzi na usalama  vituoni  na mitaani wakati wote wa zoezi la upigaji kura.

“Vifaa vyote vitakuwepo kuanzia saa moja asubuhi ambapo vituo vitafunguliwa hadi saa kumi jioni vituo vitakavyokuwa vinafungw , Baadae viongozi wenu hapa watawaeleza juu wa ulinzi lakini Askari watakuwepo vituoni kwa ajili ya kulinda amani lakini pia kutakuwa na patrol katika kata zote za uchaguzi kwahiyo kama mtu ana nia ovu atadhibitiwa mara moja msiwe na wasiwasi kafanyeni kazi kwa mujibu wa maelekezo” alisisitiza Kihamia

Kwa upande wake Msimamizi Mkuu wa uchaguzi Halmashauri ya wilaya ya Kilwa Ndg. Renatus Mchau amewataka wasimamizi kuzingatia mafunzo wanayopatiwa na heshima miongoni mwa wasimamizi na wanainchi wanaoenda kuwasimamia.

Jumla ya Kata nne kutoka katika majimbo ya Kilwa Kusini na Kaskazini zinaenda kufanya uchaguzi mdogo Disemba 2 Mwaka huu kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kifo cha aliyekuwa Diwani wa Kata ya Mitole Mheshimiwa  Mnyamba pamoja na waliokuwa  Madiwani wa Kata ya Miteja, Somanga, pamoja na Kivinje kwa tiketi ya Chama cha wanainchi CUF kujiudhuru nafasi zao na kuhamia chama cha Mapinduizi kuunga mkono jitihada za Serikali ya awamu ya Tano inayoongozwa na Dokta John Pombe Magufuli.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI HALMASHAURI YA WILAYA YA KILWA September 03, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KILWA DC YAANZA KWA KISHINDO SHIMISEMITA

    August 16, 2025
  • MTANDAO WA BMU WAELEZA FAIDA ZA ZIARA YA MAFUNZO MKOANI TANGA

    August 15, 2025
  • DED NA TIMU YA UFUATILIAJI KILWA WAFANYA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO

    August 14, 2025
  • KAMATI ZA MAANDALIZI YA SHEREHE ZA MAJIMAJI KILWA ZAKUTANA KUJADILI MAANDALIZI YA SHEREHE HIZO

    August 13, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa