• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

MKURUGENZI MTENDAJI ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA ELIMU YENYE THAMANI YA TSH: BILION 1.89

Posted on: January 8th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa Ndg. Hemed S. Magaro, ameonyesha kuridhishwa na kasi ya utekelezaji wa Miradi mbalimbali ya Elimu  katika Wilaya ya Kilwa ,ambapo amesema Miradi hiyo itasaidia kuinua Elimu Wilayani Kilwa, akiwa katika Ziara hiyo iliyofanyika 8 Desema 2025 Ndg. Magaro Amekagua Miradi mbalimbali ambapo amesisitiza utekelezaji wa haraka wa Miradi hiyo kwa wakati na Ubora unaohitajika.

Miongoni mwa Miradi aliyoikagua ni Ujenzi katika Shule ya Sekondari Mtanga ambapo ujenzi umegharimu Fedha yenye Thamani ya Shilingi Milioni 362 Fedha kutoka Serikali Kuu kwa Mabweni 2, Madarasa 4 na Matundu ya Vyoo 6 katika Shule za Sekondari Mtanga, Shule ya Sekondari Namatungutungu kwa Thamani ya shilingi Milioni 95, kwa Ujenzi wa Nyumba 1 ya Mwalimu (Two in One) Fedha kutoka Mapato ya Serikali kuu, Sekondari Somanga Ujenzi yaliyo gharimu Shilingi Milioni 72 kutoka Mapato ya Ndani na Mfuko wa Elimu,Hiyo yote ikiwa ni hatua ya kuboreshwa Mazingira ya upatikanaji wa Elimu Bora kwa Wanafunzi Wilayani Kilwa.

Aidha Ndg. Magaro pia amekagua Ujenzi wa Shule mpya ya Sekondari katika maeneo ya Mtondo Kimwaga, ambayo inajengwa kwa Thamani ya Shilingi Milioni 560 Fedha kutoka Mapato ya Serikali kuu kwa Ujenzi wa Madarasa 8,Jengo la Utawala 1,Maabara za kisasa 3,Jengo la Tehama 1,Maktaba 1, Matundu ya Vyoo 10, Tanki la Ardhini na kichomea Taka 1 ambapo Ujenzi wa Shule hiyo unatarajiwa kusaidia kutatua changamoto ya Elimu kwa watoto na kuongeza Ubora wa Elimu.

Sambamba na hilo Ndug. Magaro amempongeza Mkandarasi na msimamizi wa Mradi  huo kwa kasi ya Ujenzi wa shule hiyo na amewataka kuongeza kasi Zaidi ili kuhakikisha Ujenzi wa Shule hiyo unakamilika kwa wakati.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI HALMASHAURI YA WILAYA YA KILWA September 03, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KILWA DC YAANZA KWA KISHINDO SHIMISEMITA

    August 16, 2025
  • MTANDAO WA BMU WAELEZA FAIDA ZA ZIARA YA MAFUNZO MKOANI TANGA

    August 15, 2025
  • DED NA TIMU YA UFUATILIAJI KILWA WAFANYA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO

    August 14, 2025
  • KAMATI ZA MAANDALIZI YA SHEREHE ZA MAJIMAJI KILWA ZAKUTANA KUJADILI MAANDALIZI YA SHEREHE HIZO

    August 13, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa