• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

Mkurugenzi kilwa, afurahishwa na ushiriki wa wananchi

Posted on: May 22nd, 2018

Kilwa,

     Wananchi wa kata ya pande wamepongezwa kwa ushiriki wao katika mradi wa ujenzi wa kituo cha Afya Pande.

Pongezi hizo zimetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa Bw. Zablon Bugingo na Watalamu kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa walipotembelea kituoni hapo kukagua maendeleo ya mradi.

Bugingo amesema amefurahishwa na jinsi wananchi wanavyojitoa katika kusaidia shughuli za kila siku katika ujenzi wa kituo hicho.

“Nawapongeza wananchi wa kata ya pande kwa ushiriki wao katika mradi huu, msimamizi ameniambia kua misingi ya majengo haya imechimbwa na wananchi na haya Matofali yameletwa na wananchi kwa kushirikiana na viongozi wao” alisema Bugingo.

Aidha amewataka wanakamati kufanya mikutano yao kwa wakati na kukabidhi muhtasari wa mambo waliyo adhimia ikiwemo orodha ya vifaa vya ujenzi wanavyotaka vinunuliwe ili viweze kufanyiwa mchakato wa manunuzi na kununuliwa mapema kabla ya vifaa vilivyopo eneo la mradi kumalizika.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa Bw. Zablon Bugingo (kati kati) akipokea maelezo kutoka kwa mmoja wa Mafundi wanaoshiriki katika ujenzi katika Kituo cha Afya Pande baada ya kuwasili na timu ya Watalamu kukagua maendeleo ya Mradi(Picha : Ally Ruambo)

Nae mwenyekiti wa kijiji cha mikoma na Mjumbe wa kamati ya ujenzi kituo cha Afya Pande Bw. Shaweji Makame amesema wataendelea kuwahimiza wananchi juu ya ushiriki katika miradi ya kijamii.

“Tumejiwekea utaratibu wa kila kijiji kutoka Kata ya Pande kuja kujitolea katika Mradi huu na utaratibu unaendelea vizuri wananchi wanashiriki na sisi viongozi tutaendelea kutoa hamasa kwa wananchi waendelee kushiriki kwa wingi” alisema Makame.

Fundi akimwagia maji msingi wa moja ya majengo yanayojengwa katika Kituo cha Afya Pande kabla ya kupangwa Mawe na kumwagwa Zege (Picha : Ally Ruambo)

Kwa upande wake Afisa maendeleo ya jamii Wilaya ya Kilwa Bw. Sylvester Mashema amesema amefurahi kuona jamii inashiriki katika miradi ya maendeleo kwani hakuna maendeleo yanayoweza kuja bila ushirikiano.

Mradi wa ujenzi wa kituo cha Afya Pande utakapokamilika utaondoa adha ya wananchi wa kata ya pande na vijiji vya jirani kusafiri umbali mrefu kufuata huduma ya upasuaji na nyinginezo.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • BANDARI YA UVUVI KILWA KUKAMILIKA MWEZI JUNI 2025

    May 08, 2025
  • KAMATI YA SIASA YA CCM MKOA WA LINDI YAIPONGEZA KILWA KWA UTEKELEZAJI WA ILANI

    May 07, 2025
  • KILWA YAPIGA HATUA KATIKA KUTOKOMEZA UKATILI WA KIJINSIA DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO

    May 06, 2025
  • WANANCHI, WANAFUNZI NA WATUMISHI KILWA WAJITOKEZA KWA MAZOEZI YA PAMOJA UWANJA WA MWENGE/TAIFA

    May 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa