• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

Mkurugenzi aongoza zoezi la usafi Kilwa

Posted on: September 16th, 2018

Kilwa,           

             Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kliwa Ngd. Renatus mchau amewaongoza watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Kilwa, taasisi mbalimbali za kiserikali na wananchi kufanya usafi katika viunga mbali mbali vya Mji wa kilwa masoko.

Akizungumza baada ya kukamilika kwa zoezi hilo Mkuu wa kitengo cha Usafi na Mazingira Halmashauri ya wilaya ya kilwa Ndg. Tumaini Kagina amesema ni jukumu la kila Mwananchi kuyatunza na kufanya usafi wa mazingira yanayo mzunguka ili kuepukana na athari mbalimbali zinazotokana na uchafu.

Kagina amesema zoezi la kufanya usafi ni endelevu na amewataka watumishi na wananchi kujitokeza kwa wingi wakiwa na vifaa pindi wanapoenda kufanya usafi.

Aidha amewataka wananchi kutumia  vizuri Vizimba vya kuhifadhia taka ili viweze kuleta maana iliyokusudiwa

“kama unavyoona hapa ambapo tunafanya usafi Kizimba kipo lakini bado mtu anakuja anaweka taka zake nje matokeo yake kama unavyoona zina ziba njia na inakuwa mazoea mtu afiki pale kwenye kizimba wanazitupa tu hapa nje” alisema Kagina.

Pia amewashukuru Wananchi na watumishi kwa kujitokeza kufanya usafi licha ya kuwa ni siku ya mapumziko na kuwaomba waendelee na mioyo hiyo ya kizalendo.

“Nashukuru muitikio umekuwa mzuri watumishi na wananchi wamejitokeza kwa wingi wakiongozwa na Mkurugenzi wetu, licha ya kuwa siku ya mapumziko lakini wamejitokeza kwa wingi wao na naomba tuendelee na morali hii pia kwa changamoto zilizojitokeza tutazifanyia kazi na siku za usoni hazitojirudia tena” alihitimisha Kagina

Zoezi la ufanyaji usafi katika viunga mbali mbali vya Mji wa kilwa masoko lilijumuisha wananchi na taasisi mbalimbali za kiserikali ikiwemo Benki ya Nmb tawi la Kilwa.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MAKALA APONGEZA JITIHADA ZA KURUDISHA MAWASILIANO SOMANGA

    April 10, 2025
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa Mkono wa Eid kwa watoto wenye mahitaji Maalum Shule ya Msingi Mtanga Wilayani Kilwa.

    March 31, 2025
  • IDARA YA MAENDELEO YA JAMII YATOA MSAADA WA TELEVISHENI KWA GEREZA LA KILWA MASOKO

    April 28, 2025
  • MARAFIKI WA ELIMU WAWASILISHA TAARIFA YA UFUATILIAJI WA MAKUZI YA AWALI YA MTOTO KWA WADAU WA ELIMU KILWA.

    April 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa