• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

Mkoa wa Lindi unaendelea na jitihada mbalimbali za kuhakikisha unapunguza matatizo yatokanayo na lishe duniMkoa ikiwemo udumavu, ukondefu,uzito uliozidi,lishe duni, kiriba tumbo na ukosefu wa damu kwa wanawake walio katika umri wa uzazi.

Posted on: August 1st, 2024

Mkoa wa Lindi unaendelea na jitihada mbalimbali za kuhakikisha unapunguza matatizo yatokanayo na lishe duniMkoa ikiwemo udumavu, ukondefu,uzito uliozidi,lishe duni, kiriba tumbo na ukosefu wa damu kwa wanawake walio katika umri wa uzazi.


Hayo yameelezwa na Katibu Tawala Msaidizi Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii Mkoa wa Lindi Dkt. Kheri Kagya alipokua anamuwakilisha Katibu Tawala Mkoa wa Lindi Bi. Zuwena Omary katika Ufunguzi wa Maadhimisho ya Wiki ya Unyonyeshaji yaliyofanyika kimkoa katika Kituo cha Afya Tingi, Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa ambapo ameeleza kuwa Mkoa umechukua hatua mbalimbali za kuhakikisha wanakabiliana na hali hiyo ikiwemo utoaji wa elimu kwa wananchi kupitia majukwaa mbalimbali ikiwemo redio na maadhimisho ya siku ya afya na lishe kwa ngazi za vijiji na mitaa.


"Tunaendelea kusisitiza wanajamii kuhusu uzingatiaji wa elimu ya ulaji unaofaa unaohusisha makundi yote sita ya vyakula, sambamba na uzingatiaji wa lishe ya watoto wadogo na wachanga ikiwemo unyonyeshaji wa maziwa ya mama pekee katika miezi sita ya mwanzo na kuendelea kuwanyonyesha watoto hadi wanapofika umri wa miaka miwili tukizingatia kuwa lishe bora katika siku 1000 za mwanzo ni muhimu kwa afya ya mama na ukuaji wa mtoto na kuzuia madhara yatokanayo na udumavu yanayoweza kuathiri maendeleo ya ukuaji na afya ya akili ya mtoto" ameeleza Dkt. Kagya.


Aidha, Dkt. Kagya amewakumbusha wananchi umuhimu wa kuzingatia unyonyesha wa watoto kwa muda wa miaka miwili ambapo ameeleza kuwa maziwa ya mama ni kichocheo kikubwa cha ukuaji wa ubongo wa mtoto, kukinga mtoto dhidi ya maradhi pia yana gharama nafuu na upatikanaji rahisi kuliko maziwa mengine.


Maadhimisho ya Wiki ya Unyonyeshaji huadhimishwa kila mwaka kianzia tarehe 1 hadi 7 ya mwezi Agosti ambapo kwa mwaka huu yamepambwa na kauli mbiu isemayo " Tatua Changamoto, Saidia Unyonyeshaji kwa Watoto" ikiwa imelenga kutoa elimu na kujazia mapungufu yaliyopo ndani ya jamii kuhusu unyonyeshaji wa maziwa ya mama kwa watoto ikiwemo kipindi cha dharura na majanga.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MAONESHO YA MADINI RUANGWA 2025 YAWAPA WANANCHI FURSA MPYA ZA UWEKEZAJI

    June 11, 2025
  • KILWA NA FURSA ZA UWEKEZAJI KATIKA MAONESHO YA MADINI MKOANI LINDI

    June 11, 2025
  • WANAWAKE KATA YA TINGI WAANDAA DUA MAALUM KUMUOMBEA MHE. RAIS SAMIA

    June 08, 2025
  • DC KILWA AITAKA JAMII KUDHIBITI UTUMIAJI WA PLASTIKI ILI KUYALINDA MAZINGIRA.

    June 05, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa