• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

Matukio kwa Picha Tamasha la utamaduni wa Watu wa Mkoa wa Lindi

Posted on: October 27th, 2018

Mkuu wa wilaya ya kilwa mheshimiwa Christopher Ngubiagai akipata maelezo kutoka kwa bi. Kuhusu Cheni yenye  miaka 114 ambayo ilikuwa ikitumiwa  na viongozi wa ngazi ya juu enzi za ukoloni

Sarafu za Kilwa ambazo zilikuwa zikitumika karne na karne zilizopita

Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya kilwa Mhe. Abuu Mussa Mjaka akifurahi na baadhi ya watu kutoka wilayani kilwa katika maenyesho ya utamaudni wa watu wa mkoa wa lindi yanayoendelea katika kijiji cha makumbusho jijini dare s salaam

Viatu vya mbao (talawanda) vilivyokuwa vikitumika enzi za ukoloni ambavyo vipo katika banda la Halmashauri ya wilaya ya kilwa katika maenyesho ya utamaudni wa watu wa mkoa wa lindi yanayoendelea katika kijiji cha makumbusho jijini dare s salaam

Baadhi ya vifaa vilivyokuwa vikitumika enzi za ukoloni vikiwa katika banda la Halmashauri ya wilaya ya kilwa katika maenyesho ya utamaudni wa watu wa mkoa wa lindi yanayoendelea katika kijiji cha makumbusho jijini dare s salaam

Afisa utamaduni wilaya ya kilwa Bw. Emmanuel akifafanua jambo kwa wageni waliotembelea banda la Halmashauri ya wilaya ya kilwa katika maenyesho ya utamaudni wa watu wa mkoa wa lindi yanayoendelea katika kijiji cha makumbusho jijini dare s salaam

mgeni rasmi katika ufunguzi wa tamasha la utamaduni wa watu wa Lindi, Waziri wa Habari, sanaa , utamaduni na michezo Mhe. Harrison Mwakyembe akipata maelekezo kuhusu Samaki mkubwa ambaye alipatikana wilayani kilwa akiwa amekufa wilayani kilwa mwaka 2016.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KILWA YAPOKEA PIKIPIKI 11 KWA AJILI YA CHANJO NA HUDUMA MBALIMBALI ZA MIFUGO.

    July 11, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUWEKA MAZINGIRA WEZESHI KWA NGO's LINDI

    July 10, 2025
  • SERIKALI YAFANYA UKAGUZI WA MIRADI YA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI WILAYANI KILWA

    July 09, 2025
  • HALMASHAURI YA KILWA YADUMISHA USHIRIKIANO NA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI KUPITIA JUKWAA LA PAMOJA

    July 01, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa