• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

"Marufuku mchezo wa pool table muda wakazi" - Rc Zambi

Posted on: July 31st, 2018

Kilwa,

Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mheshimiwa Godfrey Zambi amesema hawezi kuvumilia kuona watu wana  cheza pool table na michezo mingine muda  wa kazi na kurudisha nyuma jitihada za  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt John Pombe Magufuli za kutaka watu wafanye kazi kwa ajili ya maendeleo ya Taifa.

Ameyasema hayo alipokua akihutubia wakazi wa kijiji cha Mavuji baada ya kusimama kjijini hapo akiwa katika msafara kufuatia kitendao cha baadhi ya vijana kukutwa wakicheza mchezo wa pool table.

Amesema atawakamata wote ambao watakiuka agizo la kutocheza pooltable na michezo mingine muda wa kazi na kuwapeleka katika vyombo cha sheria.

“Ndugu zangu Sasa hivi ni saa 4 asubuhi na hawa vijana wanacheza pooltable kazi wanafanya saa ngapi?

Hatuwezi kwenda namna hii muda ambao wameruhusiwa kucheza michezo hii unajulikana sasa inakuwaje muda huu ambao wanatakiwa kufanya kazi wao wana cheza pool table” alihoji Zambi.

Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mheshimiwa Godfrey Zambi akizungumza na wakazi wa kijiji cha Mavuji baada ya kupita kijijini hapo na kukuta Vijana wakicheza Poool Table asubuhi kinyume na utaratibu uliowekwa (Picha :Ally Raumbo)

Aidha ameagiza kufungwa kwa vibanda ambavyo vinaendesha michezo ya bahati nasibu Maarufu kama Mabonanza na kuvisajiri kisheria.

“Wananchi hivi sio vitu vya kufumbia macho kabisa kwa sababu wanaoharibikiwa ni watoto wetu sasa naagiza kufungwa kwa vibanda ambavyo vinaendesha michezo ya bahati nasibu  anayetaka kuendelea na biashara hii akajisajiri atambulike kisheria

siku nyingine ambayo haina jina tukikuta wanaendelea na michezo hii muda wa kazi tutakamata wachezaji na washangiliaji wote” alihitimisha Zambi

Katika tukio hilo kijana mmoja alikamatwa na jeshi la polisi alipokua akicheza pool table muda ambao sio rasmi kwa mchezo huo.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MAKALA APONGEZA JITIHADA ZA KURUDISHA MAWASILIANO SOMANGA

    April 10, 2025
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa Mkono wa Eid kwa watoto wenye mahitaji Maalum Shule ya Msingi Mtanga Wilayani Kilwa.

    March 31, 2025
  • IDARA YA MAENDELEO YA JAMII YATOA MSAADA WA TELEVISHENI KWA GEREZA LA KILWA MASOKO

    April 28, 2025
  • MARAFIKI WA ELIMU WAWASILISHA TAARIFA YA UFUATILIAJI WA MAKUZI YA AWALI YA MTOTO KWA WADAU WA ELIMU KILWA.

    April 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa